Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Ha ha! The evil is at work!! Ivi huyu baba:A S-confused1: si alikuwa mwanajeshi at one point? Kweli hakujua yatatokea yaliyotokea baada ya kutoa order kwa Polisi au na uanajeshi wake alichakachua.
Tamko la kis****ngw. Hatunywi gahawa ss twanywa Kahawa .lazima akione cha moto.Mwenye akili na atambue yaliyo nyuma ya Tamko!
Kikwete ni mnafiki mkubwa sana, kuonyesha kusikitika ni kutaka kuwaaminisha watanzania kwamba yeye hausiki
na kutaka kuwapoza wananchi ambao tayari wameonyesha kutokuwa na imani na CCM, Kweli bado viongozi wanawaona watanzania ni wajinga.
Kitu ambacho sielewi ni kuwa yanapotokea mabaya wanajaribu kutenganisha CCM na serikali; yakitokea mazuri ya serikali CCM hutamba kuwa ni "serikali ya CCM". Ndio maana sikumuelewa kabisa Vuai jana! Alikuwa anazungumza kana kwamba yaliyofanywa hayahusiani na Chama kilichoko madarakani.
The needed ones die while the unwanted 1 like you are still aliveNasikitishwa sana na mauaji hayo lakini viongozi wa siasa hasa za upinzani nao waache UHASIDI kama wa AL-SHABIBY ya somalia. Watumie busara mwafaka kulingana na mazigira husika.