MAUAJI ARUSHA: Tamko la Rais Jakaya Kikwete

Ha ha! The evil is at work!! Ivi huyu baba:A S-confused1: si alikuwa mwanajeshi at one point? Kweli hakujua yatatokea yaliyotokea baada ya kutoa order kwa Polisi au na uanajeshi wake alichakachua.
 
msanii tu anajikosha aonekane tofaut bt hawezi kukwepa lawama za kwa tukio hilo kwa viongozi wake vilaza wasiokuwa na ubongo..
Kikwete ni mnafiki mkubwa sana, kuonyesha kusikitika ni kutaka kuwaaminisha watanzania kwamba yeye hausiki
na kutaka kuwapoza wananchi ambao tayari wameonyesha kutokuwa na imani na CCM, Kweli bado viongozi wanawaona watanzania ni wajinga.

:A S-confused1:
 
Hakuna mtu mnafiki kama JK, ni dicteta wa kutupwa yeye ndiye aliyeamuru watu kuuawa mwambieni wananchi tumechoka na usanii wake kuanzia sasa nchi haitatawalika mpaka 2015 na tutamshtaki baada ya katiba mpya.
 
UNAFIKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
eti nimesikitishwa ? jamani na nini hasa na ulikuwa wapi kutoa tamko.

kaona sasa misaada inaelekea pabaya ndio kujikosha.

tunataka statement za kiume:
Km vile Nawasimamisha kazi mara moja waziri wa urojo, saidi ayiemwema na mafisi wote waliodiriki kuua watu.

Hovyoooooooooooooooo eti nasikitika na nini sasa na itasaidia nini?
hatutaki tume wala nini kila kitu kiko wazi kabisa.
Angekufa yule mwenye jina la kike ungeona bifu lake

haimtachi kitu huyu pretender
 
I hate Kikwete with all my heart, sikumbuki mara ya mwisho kuchukia mtu ilikuwa lini, lakini mtanisamehe naomba kuweka wazi I hate the so called J.Kikwete. Inafikia kipindi najiuliza nimfanye nini ili apotee kwenye historia ya TZ maana kumvumilia hadi 2015 sintaweza. Nakuchukia sana Kikwete hasa unapoleta usanii kwenye ishu kama hizi. Sijui nyie wenzangu kam bado mnamfill?

RIP the Heros in Arusha.
 
Tofauti ya Kikwete na Matonya ni viwango vya uomba omba wao. Matonya ni wa Dar na Morogoro na Dom (national) Kiwete ni international beggar. Sasa wewe unajijua ni omba omba halafu unataka kuvaa suti na utembee na Corola. Mwulize hata Matonya akiwa kazini lazima avae mavazi yatakayowavutia wahisani wake. Sasa Jk si lazima uonyeshe unatii sheria za wakubwa wanaokupa coins. Demokrasi etc etc Ole wako!!!
 
yeye si ndo aliwatuma wachakachue na kumtuma shemeji yake kutekeleza intelijensia
 
Kitu ambacho sielewi ni kuwa yanapotokea mabaya wanajaribu kutenganisha CCM na serikali; yakitokea mazuri ya serikali CCM hutamba kuwa ni "serikali ya CCM". Ndio maana sikumuelewa kabisa Vuai jana! Alikuwa anazungumza kana kwamba yaliyofanywa hayahusiani na Chama kilichoko madarakani.

Mimi sishangazwi na hilo kwa kuwa unafiki wa CCM na akina Sofia Simba, Benno Malisa & Co-fools unawataka wafanye hivyo. Mi nashangazwa na wananchi wanaowaamini. Zaidi nasikitishwa na "Maprofesa" wanaowasujudia wanasiasa. MM usije kujidanganya utanitisha na PhD yako, mi natishika na products za PhD yako tu.
 
Panya anapokula nyama y mwili wako lazima apulize ili usisikie machungu
 
Nasikitishwa sana na mauaji hayo lakini viongozi wa siasa hasa za upinzani nao waache UHASIDI kama wa AL-SHABIBY ya somalia. Watumie busara mwafaka kulingana na mazigira husika.
The needed ones die while the unwanted 1 like you are still alive
 
Hili Swala kutojirudia haliwezi kutimizwa kwa maneno matupu tu.
Hapa lazima watu wawajibike au wawajibishwe kwanza ili nawale wengine watakaopewa dhamana ya maamuzi mazito waone mifano halisi lasivyo itakuwa nikudanganyana tu huku Watanzania wenzetu wakiuawa.
Wanaotakiwa kuwajibika au kuwajibishwa hapa ni:Makamba coz alikataa Mazungumzo na Chadema,Said Mwema,Andeng'enye pamoja na Maaskari wote waliowapiga wananchi Risasi uwajibikaji sambamba nakufukuzwa kazi walizokuwa wanafanya uambatane nakufunguliwa Mashtaka wakajibu kwa pilato.
 
yeye ndio inteligensia iliyotajwa na mwema, IGP ameshindwa tu kusema nimepata maagizo kutoka kwa baba ridhiwani, ikabidi atumie maneno kama inteligensia ili kuwachanganya waTZ wakawaida
 
Mkulu tukutane The Hague halafu utarudi Arusha pale pale ulipotoa agizo utajua damu ya mtu ni sumu. Acha kutupamba bana una kesi nyingi sana za kujibu mzee wangu hata kama si leo lakini ipo siku. Hivi usingizi unapata kweli i can imagine usiku unavyokuwa mrefu teh teh! utavuna ulichopanda.
 
Back
Top Bottom