Kutukana matusi kwenye media ambayo huna udhibiti wa wapi isikilizwe ni upunguani.Kibonde kutwa kucha yeye kuwa gumzo basi ujue bila yeye hicho kipindi kitapwaya. Niaminie…controversy ina mvuto wake. Rush Limbaugh asingekuwa juu kama alivyo kama asingekuwa controversial.
Wasiwasi na yule mwenzake wala hawana mvuto kabisa. Kwa siku kadhaa Kibonde alikuwa hayuko hewani na kipindi kilipwaya pwaya. Leo karudi si umeona mwenyewe….tayari keshaanzishiwa thread.
Kibonde komaa mwana. Just be you.
Kutukana matusi kwenye media ambayo huna udhibiti wa wapi isikilizwe ni upunguani.
Kuwa controversial si tatizo, lakini si kwa extremity ya MATUSI!...hapa lazima tukubali kuwa ka'misbehave, na tusishabikie matusi...hii ni Tanzania na hatujazoeshwa kulishwa matusi ya nguoni kwa njia ya redio!
Upenzi kwa mtangazaji ni mzuri, lakini inapofikia anabomoa jamii ni lazima tuwe na guts za kumchana, na kuzi'alert mamlaka husika!
Nawasilisha.
Hayo ya yeye kuchangia kupotosha jamii ni maoni yako na una uhuru na haki ya kuwa na kutoa maoni kama hayo. Vivyo hivyo, kama ilivyo kwako na watu wengine, Kibs naye ana uhuru na haki ya kuwa na maoni yake na kuyatoa bila wasiwasi wowote ule.
Ametoa maoni ,ametukana?
Mpende msipende, mkubali msikubali Kibonde yuko juu. Nina uhakika kabisa kama Tanzania tungekuwa na mfumo mzuri wa listener ratings basi kipindi cha Jahazi kingekuwa kiko juu sana katika muda wake kinapokuwa hewani (saa kumi mpaka saa moja jioni).
Kama kweli Kibonde angekuwa mbovu kama ambavyo wachache wenu mnavyotaka watu waamini basi nina uhakika kabisa wasikilizaji wa kipindi hicho wangekuwa wameshapungua tokea zamani.
Lakini inavyoelekea ni kinyume chake. Ili mtu uweze kujua na kumkasirikia kuwa leo kasema nini ni lazima u tune in kwenye kipindi cha Jahazi. Bila kumsikiliza utajuaje na (kujifanya) kukasirikia kile alichosema?
Kibonde kaza buti mwana. Uko juu. Simamia kile unachokiamini na usichoke wala kutishika kutoa maoni yako kwani wewe siyo reporter wala news anchor. Wewe ni commentator. Fani ya utangazaji kama commentator inakupa uhuru wa kutoa maoni yako kinyume na ilivyo wasomaji na waandishi wa habari ambao wanatakiwa kuandika na ku report facts.
Just remember this my brother. Dont let the haters faze you. Make your haters your motivators by becoming the number one hater aggravator in the whole wide world. I got your back son. Keep up the good work.
Kibonde kutwa kucha yeye kuwa gumzo basi ujue bila yeye hicho kipindi kitapwaya. Niaminie controversy ina mvuto wake. Rush Limbaugh asingekuwa juu kama alivyo kama asingekuwa controversial.
Wasiwasi na yule mwenzake wala hawana mvuto kabisa. Kwa siku kadhaa Kibonde alikuwa hayuko hewani na kipindi kilipwaya pwaya. Leo karudi si umeona mwenyewe .tayari keshaanzishiwa thread.
Kibonde komaa mwana. Just be you.
Nadhani watu waasahu pia clouds fm yao style yake ya utagazaji ambayo sio too official au to strict rules Ukitaka Clouds watangaze kama TBC au radio one basi wasingekuwa na bradn yao tofauti.
But kama kweli kasema hilo neno ataomba radhi othwerwise Preta Piga simu TCRA ukilalamika. waambie ulichosikia. Wachukue malamiko yako na wakumbie nini watafanya. Haya saidia kuchukua zinazostahili mpendwa
Kama watu wanne or more wanaconfess kuwa wamesikia, na bado mtu anataka audio!!...should we take that yeye ana masikio ya dhahabu au?Unayo audio?
Anza wewe kuandika hiyo atiko...
Nadhani watu waasahu pia clouds fm yao style yake ya utagazaji ambayo sio too official au to strict rules Ukitaka Clouds watangaze kama TBC au radio one basi wasingekuwa na bradn yao tofauti.
But kama kweli kasema hilo neno ataomba radhi othwerwise Preta Piga simu TCRA ukilalamika. waambie ulichosikia. Wachukue malamiko yako na wakumbie nini watafanya. Haya saidia kuchukua zinazostahili mpendwa
Nilisikiliza lakini bahati mbaya au nzuri nilihama kabla ya hiyo scene, lakini kibonde si kati ya presenters ninaowakubali, akili yangu inaniambia ni mtu wa kujipendekeza kwa watu fulani, mimi husikiliza power breakfast angalau namwona hando anajua anachofanya, akiwa na co wake barbara, namkubali pia PJ wakati wa kuperuzi na kudadis. Bonge naye namuona yuko decent. Huyo kibonde kaeni naye wenyewe.
itabidi nifanye hivyo....halafu ile twisheni nitaanza rasmi jumapili, coz ningekuwa nimeshaanza ningejua namna ya kuitafuta na kuiweka hiyo audio hapa
mimi nilisikiliza kipindi cha jahazi , and to be honest kauli niliyoisikia ni "kafanye kazi kwa mamako" lakini kwa kuwa aliitamka kwa haraka sana ni wazi kuwa kwa msikilizaji aliyekuwa haja concentrate na kipindi kauli hii ilisikika kama tusi la mama.
mimi nilisikiliza kipindi cha jahazi , and to be honest kauli niliyoisikia ni "kafanye kazi kwa mamako" lakini kwa kuwa aliitamka kwa haraka sana ni wazi kuwa kwa msikilizaji aliyekuwa haja concentrate na kipindi kauli hii ilisikika kama tusi la mama.
Wewe ndio kibonde nini!? unayetetea ujinga.Acha uongo, hata mimi pia nimesikiliza, hakuna sehem aliyotukana kama unavosema, hata kama angelikua ni mjinga kiasi gani asingeweza kutukana hilo tusi on air, punguza chuki.