Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Wapi ushahidi?
Wapi ushahidi?
sasa ngoja tukubali kuwa sisi tuliomsikia akitukana ni vichaa, wewe ndio mwenye akili timamu kutaka ushaidi wa upuuzi
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha jahazi Clouds Fm, Kibonde, Kayanda na Wasiwasi walikuwa wanajadili kuhusu kufa kwa ATC, mjadala umeenda vizuri japo Kibonde alikuwa anaonekana mwenye jazba sana.......kilichonishangaza ni pale alipojidai kuwa ana machungu sana na kufikia hatua ya kutoa tusi la nguoni (k****m***m**k**)nadhani watu wazima mmenielewa, Hata wenzie aliokuwa nao niliwasikia wakicheka kichinichini kwa mshtuko walioupata na simu zikipigwa mfululizo,sasa linakuja swala la je....Clouds FM imekuwa ya kihuni namna hii kiasi ambacho imeanza kutoa matusi ya nguoni?
Nadhani kuna mliokuwa mnasikiliza pia,mtakubaliana na mimi. Kwa kweli ni fedheha.
Jambo la kushangaza ni kuwa hii SI MARA YA KWANZA CLOUDS KUTUKANA HEWANI. Kwa bahati mbaya mara zote hizi anayetukana ni huyohuyo Kibonde ambaye mara nyingi anaoneka kuhodhi mijadala hiyo ya Jahazi. Tangu ameondoka Gardner hicho kipindi kimekosa radha, kimekosa maadili, kimekosa mwelekeo na haijulikani kwa siku hiyo wanaongelea au kujadiri jambo gani. TUNAWAOMBA TCRA WACHUKUE HATUA KWA CLOUDS FM ili radio zetu ziwe na nidhamu na zifuate maadili ya Kitanzania
Jambo la kushangaza ni kuwa hii SI MARA YA KWANZA CLOUDS KUTUKANA HEWANI. Kwa bahati mbaya mara zote hizi anayetukana ni huyohuyo Kibonde ambaye mara nyingi anaoneka kuhodhi mijadala hiyo ya Jahazi. Tangu ameondoka Gardner hicho kipindi kimekosa radha, kimekosa maadili, kimekosa mwelekeo na haijulikani kwa siku hiyo wanaongelea au kujadiri jambo gani. TUNAWAOMBA TCRA WACHUKUE HATUA KWA CLOUDS FM ili radio zetu ziwe na nidhamu na zifuate maadili ya Kitanzania
Mtoa mada hilo tusi si tusi kuzidi ya avatar yako hiyo! Japo sifaigilii kabisa kinachoendelea na Clouds FM kwa sababu inapoteza umaarufu hata na East Africa na akina Zembela, cha kuwashauri East Africa waweke kipindi kama hicho cha clouds mida hiyo ya kwenda nyumbani maana hakuna redio kwa sasa Clouds wamechemsha ubunifi zero, huwezi mtu ukawa unajua kila kitu, mipira wewe, siasa wewe, uchumi wewe, mambo ya viti virefu wewe, khaa Clouds fungukeni bwana.
Hoja yangu Preta hiyo avatar yako ni tusi tosha kwa sisi watoto wa miaka ya sitini na sabini huko, ilikuwa ukiona tu lesi lesi za gagulo ya mama yako ni aibu, sembuse na hiyo avatar yako? ahh jamani si afadhali ya TUSI LA KIBONDE?
Aluta contunua!
nilishaacha kusikiliza long ago ..hii imenisaidia kutosikia haya yote
mkuu zingine ni chuki binafsi tu, unajua wengi wetu humu tunapenda sana kumsikiliza kibonde lakini hatumpendi,ndio maana akiteleza kidogo au wakihisi kafanya kitu mbio kufungua thread hapa jamiiforum.
Nandika haya sababu nahakika na nilichosikia.
mwisho wa siku tukubali tukate katika soko la radio clouds hawana mpinzani, wamekaba pande zote. na wanatangaza kwa level ya mwananchi wa kawaida kabisa kuwaelewa
Asubuhi watu wako ktk madala dala na usafiri wao wote wanasikiliza power
Saa tatu hadi 7akinamama wauza maandazi, mama ntilie,wamama wa nyumbani huwelezi kitu kwa Dinas marios na leo tena
Mchana Masharobaro wote, masaloni, vijana majobless huwaelezi kitu kwa b12, mchonvo na dj fatty
Jioni wakati watu wanatoka makazini daladala zote magari binafsi wote masikio kwa kibonde na jahazi
Bado kuna mabolingo nk
Na kwa taarifa kipindi cha jahazi ndicho chenye matangazo ya udhamini yanayolipia pesa nyingi kuliko vipindi vingine
Mwisho Clouds ni radio ya burudani if you want something siriazi sikiliza tbc nk
↲Burudani si matusi au kizazi chenu burudani ni matusi?Umemaliza kila kitu mzazi!
bisekosonj80 karibu sana janvini.↲Burudani si matusi au kizazi chenu burudani ni matusi?