Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,520
kibonde mpumbavu alitukana wanafunzi wa UDSM kuwa ni malaya,walevi eti wanakesha baa,hivi huyu kibonde huwa analewa bia ngapi? Hivi kwa sh.5000,unaweza ukakesha baa.huyu bwabwa anakera sana,anatafuta sifa,sijui anaisi watawala watampa ubunge wa viti maalumu.
Kuhusu hao wanafunzi alisema ukweli mtupu! Tembelea baa za Sinza na Ubungo uone hivyo visichana na UDSM vinavyouza nyuchi na kuendekeza ulevi.