Matured Christian Man for Marriage

Matured Christian Man for Marriage

Status
Not open for further replies.
Ukishaona vingereza vingi na ma vigezo mengine amabayo hayana kichwa wala miguu jua mhusika bado hajatambua anachotaka....kifupi bado haelewi
Kwani lazima aelewe unavyotaka wewe?

Unampangiaje mtu lugha na vigezo kwenye suala la ndoa na mapenzi?
 
Serious question: kama wanaoolewa mapema ndo the best, why are there divorces, michepukos and kataa ndoas? ? ?

Au kataa ndoa ni ndoa za watu walioolewa 30+?
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Nina miaka 31
Nasali TAG CCC Upanga
Na pia AIC CHANG'OMBE CHURCH
Nilikuwa auliza unaye mtu? 🤣
 
Kwani lazima aelewe unavyotaka wewe?

Unampangiaje mtu lugha na vigezo kwenye suala la ndoa na mapenzi?
Ni kama ambavyo wewe huwa unataka watu wamuelezee mwenyezi Mungu kama unavyotaka wewe. Kumbe na wewe unatambua hicho ni kitu cha ajabu ila unajizima data.
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Kila Lakheri Madam Upate hitaji la moyo wako na vigezo vyako Neema na kudra huwa hazichelewi wala kuwahi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom