Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,407
- 10,544
Sawa.je una uhakika alikua whore before?Kurekebishana kunaendana na kuelezana ukweli.
Sawa.je una uhakika alikua whore before?Kurekebishana kunaendana na kuelezana ukweli.
Who's a whore?Sawa.je una uhakika alikua whore before?
Mwenye uzi wake Amechangamka hataree..😅Uzi mmoja wa kibabe sana..halafu mtoa mada nae hajakaa kinyonge yanii🤣
Ukileta fuoko unakulùa za usoo🤣
Hawa wengi wanapenda kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyafahamu.Tumekuwa na negative society ambayo unapewa ushauri na kupangiwa na kila anayejua kuandika na kuongea
Kwani lazima aelewe unavyotaka wewe?Ukishaona vingereza vingi na ma vigezo mengine amabayo hayana kichwa wala miguu jua mhusika bado hajatambua anachotaka....kifupi bado haelewi
Unaonekana una gubu. 40-45 yrs with no child! Labda wagonjwa.Wewe ndo uko late ,ndo maana mwanaume mzima baada ya kufanya kazi unajikomentisha .
SiKuna wengine unafungua Uzi unadoda bila hata comment Moja.Mwenye uzi wake Amechangamka hataree..😅
😂😂😂Vyema kabisa...humu sisi ni mafukara choka mbaya kabisa hatuna vision kabisa wahuni wahuni tu jobless na hatuko financially stable ...hatuko matured ...sio born again 😂😂😂😂
Wewe utakuwa ni dume umeamua tu kuchangamsha genge.Sina huo muda
Siste rAbigail wewe umeilewa? Kama bado naomba niruhusu nije inboxSiKuna wengine unafungua Uzi unadoda bila hata comment Moja.
Ukichangamka na Uzi nao unachangamka🤣
My thoughtsWewe utakuwa ni dume umeamua tu kuchangamsha genge.
Nina miaka 31Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga
Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Ni kama ambavyo wewe huwa unataka watu wamuelezee mwenyezi Mungu kama unavyotaka wewe. Kumbe na wewe unatambua hicho ni kitu cha ajabu ila unajizima data.Kwani lazima aelewe unavyotaka wewe?
Unampangiaje mtu lugha na vigezo kwenye suala la ndoa na mapenzi?
Kila Lakheri Madam Upate hitaji la moyo wako na vigezo vyako Neema na kudra huwa hazichelewi wala kuwahiIm looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga
Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Muache huyo anajitoa akili tuNi kama ambavyo wewe huwa unataka watu wamuelezee mwenyezi Mungu kama unavyotaka wewe. Kumbe na wewe unatambua hicho ni kitu cha ajabu ila unajizima data.
Hata ukija inbox sijui hata utaambulia Nini mkuu..anyway karibu siwezi kufukuzaSiste rAbigail wewe umeilewa? Kama bado naomba niruhusu nije inbox