Matured Christian Man for Marriage

Matured Christian Man for Marriage

Status
Not open for further replies.
Sawa mkuu ila mwanamke umri umeenda unakuta hana ujuzi wala elimu. Au hata kama ana elimu hana kazi na yupo kwao tu na hana utaalamu hata wa kushona nguo wala kufuga kuku. Huyu unadhani nani anamhudumia ? Ni ngumu sana kumshawishi mwanaume mwenye uwezo amuweke ndani. Labda ambao wana mizigo mizito na migumu.
100%
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Huko unakosali wanakufahamu vizuri Kwa tabia yako njema kwanini hawakuoi?
 
Kwa gubu hili, huambiliki ndio maana unarandaranda mitandaoni. Baki na gubu lako hadi utakapotaka anaepumua tu. We ungekuwa born again si ungepata huko kanisani kwako ila gubu dada ndio maana unakimbiwa.
Nilitegemea comment kama hii!
 
Im looking for a serious relationship .Matured single christian Man for holly marriage .
Must be a reformed Christian [Born Again]
Aged 40 to 45 ,with no kids / not more than one kid
Awe na Afya njema
Awe mwenye na nia ya dhati ya kuoa
Awe amemaliza ujana wake na anahitaji kusettle na kutengeneza familia
Awe mkweli na mcha Mungu
Awe dsm ,dodoma,morogoro,tanga

Naitwa mercy ,30s by age
Naishi pwani kibaha,mkristo nimeokoka
Mwajiriwa ,najitegemea ,
Only serious please .
Njoo PM
 
Unatafuta Mubaba wa Dar, Dodoma na wapi tena umesema?
Ni kwa sababu hauko tayar kubadili life style hivyo unang'ang'ania miji yenye Anasa zile zile....

40_45y/o na yuko Single, huyu ni Muhini mwenzio😆

TUPO ILA HATUNA HELA.
 
Ukweli ni kwamba Hakuna formula sahihi ya kupata mwenza sahihi angalau mkaendana kwa 50% kuna muda utaona mtu ni sahihi lkn ukikaa nae baada ya muda furani utagundua yupoje Mercy usivunjike moyo hakuna linalo shindikana usisahau kuwa una wajibu wa kumtengeza ili awe bora zaidi huyo mwenza wako
 
Only serious please .
Nimedokezwa na mdau hapa:
Umefunga PM, Je watawasiliana nawe vipi?
Weka japo email
1752614136467.png
Rejea:
- Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom