Matunda Matamu Sana Haya

Matunda Matamu Sana Haya

Tutamjengea JMagu kaMall kadogo na RenjiRova 2 wheels!!!
kyakyakyaaaaaaaa huyu ni mgumu sana japo najua kibinadam anaingilika tu ,,,kaka yeye hakuogopa maneno ta watu yaani yeye ni aibu less anatabasamu anapewa suti anabadilishana na nanihii muongee we ye hana habari,,, huyuu ako na aibu kidogo
 
kyakyakyaaaaaaaa huyu ni mgumu sana japo najua kibinadam anaingilika tu ,,,kaka yeye hakuogopa maneno ta watu yaani yeye ni aibu less anatabasamu anapewa suti anabadilishana na nanihii muongee we ye hana habari,,, huyuu ako na aibu kidogo
mmmH!! basi bora tukupe wewe utuunganishe na Vigogo !!!😛
 
Mapera hayo mkuu .Ukithubutu kumeza zile mbegu zake kwa wingi utajuta yaani utadhani unajifungua kwa nyuma jinsi kimba linavyotoka kwa ugumu
Sasa mkuu utakulaje mapera bila kumeza mbegu zake?
 
ZZ usijifanye umesinzia ukuye fasi ya kule kwenye Mkesha si ulitangaza mwenyewe!!!
 
Back
Top Bottom