Kuivisha matunda kwa haraka

Kuivisha matunda kwa haraka

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,096
Reaction score
1,606
Ndizi mbivu za Dar huivishwa kwa kuwekwa katika chumba maalumu cha kuivishia kwa lugha ya kimombo "Ripening chamber". Wakiongezea na kichochezi cha "Ethylene" vinavyowezesha matunda kuiva kwa wakati mmoja bila kuharibika.

Kwa Tanzania wapi ninaweza kupata mtaalamu wa kudesign hizo chamber, maana kuagiza china na india ni parefu.

Mafundi wa cold rooms mje hapa
 
Ndizi mbivu za Dar huivishwa kwa kuwekwa katika chumba maalumu cha kuivishia kwa lugha ya kimombo "Ripening chamber". Wakiongezea na kichochezi cha "Ethylene" vinavyowezesha matunda kuiva kwa wakati mmoja bila kuharibika.

Kwa Tanzania wapi ninaweza kupata mtaalamu wa kudesign hizo chamber, maana kuagiza china na india ni parefu.

Mafundi wa cold rooms mje hapa
Mm naweza laakin bei yangu ni bora uagize China tu. Au subiria wengine ila bei yNgu huiwez
 
Back
Top Bottom