Mpe MR. masharti ya masaa 24 akiri kosa lake, akuombe radhi, awachane na huyo wa kuja la sivyo unafungasha na kuondoka.
Hiyo ni Plan B, Plan A ondoka hivi sasa, airudi hupo.
Huyo kicheche aisee hana hata adabu?? Wengine huwa wanasema nyamaza naongea na "Wife" niliwahi kuleta thread kama hii
Jamani nitakufa siku si zangu source: Feis Buku
hhahaaaaaaa Dena na wengine nyamaza naongea na husband!!!!
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Kabla ya kumlaumu nyumba ndogo namlaumu huyo mr wako,hana adabu hata kdogo.adi uyo mdada kupata ujasiri wa kukusemesha kwa dharau ivo ujue mr wako ashakuponda sana mbele yake.shame on him
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Daughter usiseme hivyo hizi nyumba ndogo huwa zina tafuta njia tu yakuachanisha ndoa za watu ujue ilisha mjua vizuri sana hi ilishanitoke mimi ilimjua my wife wangu ikafanya mbinu ikapata namba yake wachanione dunia chungu ilikuwa inampigia sim inatoa maneno ya uongo likini yanakribia na ukweli mpaka mwenzangu akajua huwa naiambia wakati hata sikumoja sijawahi itamkia ya mkewangu naomba jameni watu muache kabisa hilijambo hasa kinadada mkiona mnataka kufanya speatairi msikubali hakuna mume wa mtu anapenda kliukweli nyumba ndogo huwa tunajifanya tu ukiuziwa home ndo untafuta pakujiweka sawa
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Mpe MR. masharti ya masaa 24 akiri kosa lake, akuombe radhi, awachane na huyo wa kuja la sivyo unafungasha na kuondoka.
Hiyo ni Plan B, Plan A ondoka hivi sasa, airudi hupo.
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
na kweli yeye ndo anakula. C ajabu matunzo anayopata kiboko.
Anyway inawezekana ni nyumba ndogo(tena ya kiswahili,hajui kula na kipofu).
{Au wachönganishi. . . Ila mmmh}
ila ungemuuliza kati yako wewe mke na yeye hawara nani m*laya?
Kwani wewe ni golikipa? Kama ni kweli pole mambo ya nyumba yako yashafika nyumba ndogo.
Ingekua imenitokea mie ningetulia nifanye uchunguzi kimya kimya huku Nakihifadhi namba za mwizi wangu na kumpiga sound mume avifundishe adabu vihawara vyake.
Kabla ya kumlaumu nyumba ndogo namlaumu huyo mr wako,hana adabu hata kdogo.adi uyo mdada kupata ujasiri wa kukusemesha kwa dharau ivo ujue mr wako ashakuponda sana mbele yake.shame on him