Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"
.................I love you!!!

nakupenda bure kabisa, i wish wote wangekua hivyo
 
Tuache utani... niliwahi kupata similar message aisee; the good thing aliyetuma alikua mshkaji kafowadi kuonyesha yaliyomkuta, karibia nitolewe macho

baada ya kupiga kwa jamaa (promptly) ndio kikaeleweka

Hii kitu balaa
 
... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"[/QUOTE]

Kwaaaaa -kwaaaaaaaaaaa---kwaaaa
Ashadii uve make my day....
ni kweli wapo visalata ambao wanaweza fanya hivo makusudi basi tu ili ukereke mi ntaongezea hapo ntachukua simu ya hubby na kumpigia huyo bibie na ntagomba kwa utulivu...kwanin hukumueleza mapema mume wangu oona sasa umemtia hasara za bure mtafutie mwenzio aende akakuwakilishe sasa........
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"

Nikipata mke kama wewe maisha yatakuwa tambarare sana...hongera kama kweli upo hivyo rafiq.
 
Vitu vingine una let go tu, maana watu mpaka wamefikia kuambiana mambo ya period ni kwamba wako kwenye mahusiano tayari, when worse comes to worse unavuja ukimya na muzee muhamalize maana hata mkigombana ndio kabisa ataenda kulala huko huko.
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"
Naona hapa una "Leti ze wei to lidi ze lavu" lol
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"

Dadaa, wenye kutoa majibu ya namna hiyo ni watu wenye busara sana!
na kama kweli jamaa alikuwa ana cheat! huo ndio utakuwa mwisho wake!!

Nimeipenda sana
 
mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... Na alikua na hope nitaiona... soln kwangu itakua kuipotezea... Ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... Na kumwambia mume wangu "mpenzi acha kutoa number ovyo... Ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"

nahisi kwa msg hii shemeji anaitaji kutoa mahari mara ya pili kivipi
nahisi ajajua alienae ni zaidi ya waliokuwa nae
big up mamito
 
oUkipata mke kama AshaDii na we uwe tayari kuvumilia utakapoikuta kwa bahati mbaya iliyotumwa kwake! Inayosomeka ifuatavyo

Hny

Jana ulinifurahisha sana yaani sijalala nikihofia kupoteza kumbukumbu ya mechi yetu! Sijui lini tena tuta...............!

I mic u!
 
Dear Hny
sorry leo sitoweza kuja niko kwenye period jamani alafu si unajua na hasira zangu sijui hata kutakalika nikija
mbona ukunjulisha mapema kabla ya kuchukua chumba..sorry again
luv u

Meseji hii hii, tuigeuze kama ilikuwa itumwe na mke kwa bwanake wa nje lakini akaituma kwa mume kimakosa................Itakuwaje hapo?
 
Meseji hii hii, tuigeuze kama ilikuwa itumwe na mkeo kwa bwanake wa nje lakini akaituma kwako kimakosa, halafu ndio umefika kazini na hujaanza kazi utafanyaje?

infact utakuwa umechungulia kwenye sent items
kwa akili nilizonazo wanawake ni wajanja sana utakuta mistake kasahau msg kwenye inbox not sent items blv me na wengine awataki shida wakikaribia geti wanaenda kwenye delete all anamaliza kazi lakin mateso yoote ya nini haya jamani
mmoja si anatosha??
 
infact utakuwa umechungulia kwenye sent items
kwa akili nilizonazo wanawake ni wajanja sana utakuta mistake kasahau msg kwenye inbox not sent items blv me na wengine awataki shida wakikaribia geti wanaenda kwenye delete all anamaliza kazi lakin mateso yoote ya nini haya jamani
mmoja si anatosha??

Hujaelewa soma tena, nimesema akaituma kwako kimakosa....................
 
Mwanamke endapo atakutext au kukwambia kuwa yupo kwenye PERIOD ni tayari mna-mahusiano?????au ni kuwa mna taka kuingia huko????ukiacha mfano wa that text above
 
oUkipata mke kama AshaDii na we uwe tayari kuvumilia utakapoikuta kwa bahati mbaya iliyotumwa kwake! Inayosomeka ifuatavyo

Hny

Jana ulinifurahisha sana yaani sijalala nikihofia kupoteza kumbukumbu ya mechi yetu! Sijui lini tena tuta...............!


I mic u!

Nadhani itakuwa imetumwa kimakosa......... AshaDii si wa Kihivyo.....................
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"

You should have been my wife
 
Mwanamke endapo atakutext au kukwambia kuwa yupo kwenye PERIOD ni tayari mna-mahusiano?????au ni kuwa mna taka kuingia huko????ukiacha mfano wa that text above

mara nyingi kama anaweza kuwa free kiasi hico, kumegana si ajabu. 'akumulikaye mchana, usiku atakuchoma'
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... Soln kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu "Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message"

Lol.. nimependa hii sentensi. Ha ha ahaaaa
 
Back
Top Bottom