Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Mie nilikuta msg ya msichana yaani iliingia wakati natumia simu yake mara moja, nikaifungia kibahati mbaya, inasema nikusubiri aport au utanikuta home d? alikuwa anasafiri mwanza sijui alikuwa mtoto gani wa mwanza, nikauchuna coz jina nililijua baada ya dk chache kwa kutumia ile namba ya simu,nikampeleka aport, nikawa napiga kila saa kuona kama amefika, maana angani si hakuna network! ilipoita tu nikajua amefika, nikamuuliza mambo vipi, umefika salama? ..... umemkuta aport? alikata simu hapohapo, ilikuwa arudi kesho yake jioni, jioni ya siku hiyo nikamuona huyu hapa kaingia home, sikumuuliza wala nini mahaba kwa kwend mbele, kesho yake akanambia sorry ma zawadi maisha yakaendelea, mambo ya simu ni soo.... ndio nilikasirika sana ila sikutaka kugombana wala nini
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... <u>Soln</u> kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu &quot;Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message&quot;
<br />
<br />
Wow u did ur homework nicely, i like u
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... <u>Soln</u> kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu &quot;Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message&quot;
<br />
<br />
You are a kind of woman that i always dreaming to have, kiukweli mtu mwingine hawezi kujua kama sms imetumwa kimakosa yeye atakushushia lawama mpaka ukome, hata ujitahd kumwelewesha ukweli.
 
Hilo varangati lake sijuhi nani atakuwa mwamuzi. Na nikipata bahati ya kumjua mtuma sms nae lazima nimshikishe adabu. Sina moyo wa busara aisee when it comes to MY MAN.
 
Mume wangu ni mwerevu... Na ni the type aki cheat, ni kazi saaana me as a wife ning'amue hilo.... Sio mshamba kiasi kwamba naweza kuta such a message, hivo nikiikuta nitajua mtumaji ndio wale waharibifu.... na alikua na hope nitaiona... <u>Soln</u> kwangu itakua kuipotezea... ili nisimpe faida/furaha (mtumaji).... na kumwambia Mume wangu &quot;Mpenzi acha kutoa number Ovyo... ona sasa hadi vichaa wanakutumia message&quot;
<br />
<br />
wanaume wengi walio vicheche wanadream kuwa na wanawake sampuli yako.
 
Ukitaka kuanza kutembea na chupi umevaa kichwani fanya hiyo biashara achana nayo kabisa.


Hilo varangati lake sijuhi nani atakuwa mwamuzi. Na nikipata bahati ya kumjua mtuma sms nae lazima nimshikishe adabu. Sina moyo wa busara aisee when it comes to MY MAN.
 
Aishadii i lyke u,
wanawake chukueni hii kwani dawa ya moto si moto,
na daima mke mnyenyekevu nyumba yake hudumu ila yule
mshari huongeza uharibifu.
 
Mie nilikuta msg ya msichana yaani iliingia wakati natumia simu yake mara moja, nikaifungia kibahati mbaya, inasema nikusubiri aport au utanikuta home d? alikuwa anasafiri mwanza sijui alikuwa mtoto gani wa mwanza, nikauchuna coz jina nililijua baada ya dk chache kwa kutumia ile namba ya simu,nikampeleka aport, nikawa napiga kila saa kuona kama amefika, maana angani si hakuna network! ilipoita tu nikajua amefika, nikamuuliza mambo vipi, umefika salama? ..... umemkuta aport? alikata simu hapohapo, ilikuwa arudi kesho yake jioni, jioni ya siku hiyo nikamuona huyu hapa kaingia home, sikumuuliza wala nini mahaba kwa kwend mbele, kesho yake akanambia sorry ma zawadi maisha yakaendelea, mambo ya simu ni soo.... ndio nilikasirika sana ila sikutaka kugombana wala nini

Wise move!
 
Hilo varangati lake sijuhi nani atakuwa mwamuzi. Na nikipata bahati ya kumjua mtuma sms nae lazima nimshikishe adabu. Sina moyo wa busara aisee when it comes to MY MAN.

halafu ukimtukana itasaidia nini maana elewa kama sikio la kufa ...............
 
Sijashawishika bado. Yani mwanaume afanye uzinzi wake afu aendelee kupata amani nyumbani? Mnao amini hivyo endeleeni mimi siwezi. It works for me it might not work for you.

Yani nione upuuzi kama huo afu nimpigie makofi. Unless na mimi ninalipiza kisasi na sina sababu ya kulalamika. Lakini nimetulia na kujiheshimu afu nitabasamu baada ya kuona sms kama hiyo???? Never??? Kama na mimi nina kidumu hapo sawa tena wala sitamuuliza.
 
Si masikio yote ni ya kufa my dear I believe on fighting for the man I love unless kama nimejikatia tamaa. Na ukishasema mume wangu ni sikio la kufa meaning wewe unaishi kwa matumaini hakuna mapenzi wala nini. Wangu si sikio la kufa kwa hiyo ana dawa.
halafu ukimtukana itasaidia nini maana elewa kama sikio la kufa ...............
 
kawaida unaposhika simu ya mpenzi wako kama unahisi unatapeliwa basi angalia sent items.... Yaani yeye alivotumiwa hiyo msg alijibu nini kwa mkono wake?? Inbox inakuwa ngum sababu kama unamuona mpenzi wako anakuvutia anapendeza kila siku unamtamani pia fahamu wapo wanaomtamani pia kwa mtu yeyote anaweza kumtumia msg yoyote bila kujali chochote.
 
Dear Hny
sorry leo sitoweza kuja niko kwenye period jamani alafu si unajua na hasira zangu sijui hata kutakalika nikija
mbona ukunjulisha mapema kabla ya kuchukua chumba..sorry again
luv u

Kwa nini upekue cmu ya mke wako?
Hapa sawa nakujitakia kukatisha mapigo ya moyo
 
Asante Sangara kwa kunielewa. I fail to understand hawa wenzangu wanaosema watamezea. Mimi kwa kweli mume wangu anajua what am capable of kwa hiyo hata kama ana cheat nina hakika anawapa limits hao vimada wake kwani so far sijawahi kutana na huo upuuzi na nikikutana nao walahi patachimbika.

Emu kuweni honest nyie wanaume; mkeo kama anakuwa anatabasamu tu anapukutana na vitu kama hivyo will it make you stop??? Will it make you love her more??? WOnt it make you love the other woman more since you know that your wife doesn't care??? Wont it make you a serial cheater??

Kwa experience yangu wanaume wenye wanawake wapole ni viwembe balaa kwa sababu wapo kwenye conducive environment.

Hii njia ni sahihi pia kwani kina sie usipokuwa mkali utaletewa mwenzio mpaka ndani.
Fight for your love.
 
Nataka kuhisi kuwa kuna wanawake wanaogopa ku fight kwa kuwa hawajuhi position zao. Wanaogopa kuambiwa fungasha uende after all I love that other woman more than you. Kama wajua wewe ndio chaguo why afraid to confront him???
 
Nikipata mke kama wewe maisha yatakuwa tambarare sana...hongera kama kweli upo hivyo rafiq.

Hakuna mambo ya nikipata mke kama wewe, ili uwe unaacha hizo sms kama hizo kila siku, Kwanza patachimbika ndio mambo mengine yafate baadae.
 
Back
Top Bottom