Nilwahi kuuliza hapa iweje nchi kama Thailand wadhibiti matumizi ya dollar lakini hapa mambo ni holela,jana nimepata jibu toka kwa bwana Zitto kuwa kutodhibiti fedha za kigeni kunachangia kuporomosha uchumi.
Hivi watu wa Wizara ya fedha na BOT hawalijui hilo?
Watu wa uchumi tusaidieni kutuelemisha katika hili.
Hivi watu wa Wizara ya fedha na BOT hawalijui hilo?
Watu wa uchumi tusaidieni kutuelemisha katika hili.