jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Jambo kubwa kabisa ambalo lingeimarisha sarafu yetu ni kuiondoa ccm madarakani.
Hii ingejenga morari ya uwajibikaji ambayo kwa sasa imekufa imebaki ya wizi.
ili uuze nje lazima uzalishe ndani kwanza, ccm imetengeneza wezi sio wazallishaji, kwa hiyo usitegemee kupata cha kuuza nje kutoka kwa zao la ccm.
Hifadhi ya dhahabu hu stabilize sarafu, pamoja na wingi wa dhahabu nchini kwetu sidhani kama tuna hifadhi ya dhahabu hata "Tola" moja pale bank kuu tulimowajaza watoto wa wenye ccm.
hata sospita muhongo haitambui Tsh.
rejea mawasiliano yake kwa umma "..................umeme utauzwa kwa cent za kimarekani ......."
Watanzania wana morari ya kuiba kama Chenge, wanahamu ya kuvunja rekodi ya Liyumba, wanausongo wa kufanya kama Karamagi, wana hamu ya kumzidi masamaki idadi ya "mijengo" wanataka wampiku "Dewiji" kumiliki wingi wa mahekari ya ardhi.
CCM IMETUTENDA VIBAYA!!!!!!!!
Eti watanzania nao wana ndoto za kuishi kimarekani!!!!! (ref. baba mwanaasha)
eti wana ndoto ya kuwa na viwanda kama bakhresa!!!!!!
Sukita tu imewashinda,
Wenye Ubongo wamenielewa.
Hii ingejenga morari ya uwajibikaji ambayo kwa sasa imekufa imebaki ya wizi.
ili uuze nje lazima uzalishe ndani kwanza, ccm imetengeneza wezi sio wazallishaji, kwa hiyo usitegemee kupata cha kuuza nje kutoka kwa zao la ccm.
Hifadhi ya dhahabu hu stabilize sarafu, pamoja na wingi wa dhahabu nchini kwetu sidhani kama tuna hifadhi ya dhahabu hata "Tola" moja pale bank kuu tulimowajaza watoto wa wenye ccm.
hata sospita muhongo haitambui Tsh.
rejea mawasiliano yake kwa umma "..................umeme utauzwa kwa cent za kimarekani ......."
Watanzania wana morari ya kuiba kama Chenge, wanahamu ya kuvunja rekodi ya Liyumba, wanausongo wa kufanya kama Karamagi, wana hamu ya kumzidi masamaki idadi ya "mijengo" wanataka wampiku "Dewiji" kumiliki wingi wa mahekari ya ardhi.
CCM IMETUTENDA VIBAYA!!!!!!!!
Eti watanzania nao wana ndoto za kuishi kimarekani!!!!! (ref. baba mwanaasha)
eti wana ndoto ya kuwa na viwanda kama bakhresa!!!!!!
Sukita tu imewashinda,
Wenye Ubongo wamenielewa.