Matumizi ya fedha za kigeni nchini yapigwe marufuku

1.Staafisha Gavana wa benki kuu kwani ni mzigo.
2.Piga marufuku matumizi ya sarafu ya dollar ya Marekani kwa matumizi ndani ya nchi.
3.Wasafiri wote nje ya nchi waonyeshe passport zenye viza na ticket wanaponunua fedha za kigeni kutoka benki au bureau de change kuthibitisha kuwa wanazihitaji kwa matumizi nje ya nchi.
4.Wakaguzi wa BOT wahakikishe kuwa bureau de change zote zinafuata sheria na zinazokiuka zifutiwe leseni.
5.Wananchi wawe wazalendo kwa kutoa taarifa BOT wanapoona mtu yeyote anauza bidhaa kwa fedha za kigeni hapa nchini.
6.BOT watoe namba ya simu ya bure(toll
free hotline) kwa wananchi kutoa taarifa.
7.Hatua hizi zitapunguza kabisa mahitaji ya fedha za kigeni hivyo zitapungua thamani na shilingi itapata nguvu. Majirani zetu wamefaulu kwa nini tushindwe?

Naamini sheria zipo lakini BOT ni jipu lingine linalohitaji kutumbuliwa.

Hapo sawa lakini hatuzarishi bidhaa za ndani hadi tooth pick na vijiti vya kuchomea mishikaki bado vinatoka china, maziwa yanatoka afrika kusini na kenya, kila kitu kinatoka nje, hata hivyo viwanda vichache vinavyozalisha nchini vinanunua mali ghafi nje, mfano BAKRESA ananunua ngano kutoka nje, kwa hiyo hiyo itakuwa sehemu ndogo tu ya hatua, mhimu tuwe na viwanda vyetu ili bidhaa ndogo ndogo tuzinunue humu humu nchini.
 
1.Staafisha Gavana wa benki kuu kwani ni mzigo.
2.Piga marufuku matumizi ya sarafu ya dollar ya Marekani kwa matumizi ndani ya nchi.
3.Wasafiri wote nje ya nchi waonyeshe passport zenye viza na ticket wanaponunua fedha za kigeni kutoka benki au bureau de change kuthibitisha kuwa wanazihitaji kwa matumizi nje ya nchi.
4.Wakaguzi wa BOT wahakikishe kuwa bureau de change zote zinafuata sheria na zinazokiuka zifutiwe leseni.
5.Wananchi wawe wazalendo kwa kutoa taarifa BOT wanapoona mtu yeyote anauza bidhaa kwa fedha za kigeni hapa nchini.
6.BOT watoe namba ya simu ya bure(toll
free hotline) kwa wananchi kutoa taarifa.
7.Hatua hizi zitapunguza kabisa mahitaji ya fedha za kigeni hivyo zitapungua thamani na shilingi itapata nguvu. Majirani zetu wamefaulu kwa nini tushindwe?

Naamini sheria zipo lakini BOT ni jipu lingine linalohitaji kutumbuliwa.

kombi gani umesoma;

kama hujui kitu ; Omba msaada;

KAMA HUNA DEGREE YA UCHUMI KAA KIMYA ; AU SOMA KWA NJIA YA POST



 
Nashauri uangalie na kuzingatia maandiko. Shilingi haishuki thamani kienyeji...factor inayochangia sarafu yetu kushuka thamani ni uchumi unaotegemea zaidi bidhaa kutoka nje, kuliko uzalishaji wetu na hivyo kutukosesha mapato ya fedha za kigeni..at the end of the day, kama Taifa, tunakuwa na BoP HASI.

Njia pekee ya kufanya sarafu yetu iwe strong ni kuongeza uzalishaji na kufanikiwa kuuza katika soko la nje. Pia, tunahitaji kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani..sio kila kitu kununua kutoka nje (toothpick, viberiti, diapers, office furnitures, nk)

Kumbuka, dunia sasa ni kijiji (global village). Ni vigumu sana kujifungia kama unavyoshauri. Tuache kukimbilia shortcuts kwenye masuala yanayohitaji kufanyiwa kazi ili nchi isonge mbele.
 
Kiongozi, exchange rate inaweza kushuka drastically hadi 1200/USD ndani ya muda mfupi endapo mambo makuu mawili yakifanyiwa kazi seriously - Serikali kupunguza anasa na pili ufisadi ukidhibitiwa. Uzalishaji wa ndani ukiimarishwa na export ikaongezeka rate inaweza kufikia 700/USD kabla JPM hajamaliza ngwe yake ya kwanza.
 
Una degree ya uchumi isiyozalisha chochote kwako wala kwa nchi yako faida yake ni nini ? Bora asiyejua kusoma wala kuandika anayeuza japo fungu moja la mchicha. Changia hoja au nyamaza
 
Hadi Vyuo vinataka vilipwe in terms of dollars mfano hai Kampala International University. Hii ni hatari kwa uchumi unaostawi kama Wa Tanzania.
 
Uchumi ungekuwa rahisi hivyo haki ya nani Tanzania ingekuwa Jerusalem! Yaani bila hata kutegemea uwiano wa import and export tayari thamani ya pesa inapanda?
 
Ubarikiwe mkuu....hakika wewe ni mzalendo wa kweli........
Matatizo ya taifa hili mzizi wake ni uzalendo miongoni mwa wananchi.....mambo yote uliyoyaoanisha hapo yanahitaji uzalendo wa kiwango cha juu.......kila mwananchi anapaswa kuipenda nchi yake kwa moyo wake wote na akili yake yote.....hapo tutakapoanza safari ya kuelekea utawala bora.......na uchumi wetu.......
Ni TANZANIA PEKEE AMBAPO MWANANCHI ANASHIRIKIANA NA MGENI KUKWEPA KODI.........ALAFU MWANANCHI HUYO HUYO ANALALAMIKIA KUHUSU UPUNGUFU WA MADAWA HOSPITALINI......

Moja ya kitu ambacho kiliwafanya wananchi washirikiane na wageni kukwepa Kodi ni baada ya kuwa wanauliza matumizi ya kodi wanajibiwa wana wivu wa kike, wakiuliza Kuhusu matumizi mabaya ya fedha wanajibiwa kila mtu abebe mzigo wake, wakati huo watu wanayumbua kodi zetu na vimada kwenda nje wakijifanya wanatangaza utalii, Uzalendo unaanzia somewhere ndugu.
 
kombi gani umesoma;

kama hujui kitu ; Omba msaada;

KAMA HUNA DEGREE YA UCHUMI KAA KIMYA ; AU SOMA KWA NJIA YA POST




Naona umemkanya mwenzako tu bila kutoa huo msaada....
 
uzarishaji wa bidhaa ndani ya nchi ninjia pekee yakuimalisha uchumi was nchi coz tsh haishuki thamani
 
Kwanza nnakuuliza ni nani alikuambia kuwa shillingi ya Tanzania inahitaji kuimarishwa?

Umeandika kichwa cha habari kingine na utumbo mwingine.

Unataka kuimarisha shillingi au unataka kushusha thamani ya dollar? Fikiri.
 
Nashauri uangalie na kuzingatia maandiko. Shilingi haishuki thamani kienyeji...factor inayochangia sarafu yetu kushuka thamani ni uchumi unaotegemea zaidi bidhaa kutoka nje, kuliko uzalishaji wetu na hivyo kutukosesha mapato ya fedha za kigeni..at the end of the day, kama Taifa, tunakuwa na BoP HASI.

Njia pekee ya kufanya sarafu yetu iwe strong ni kuongeza uzalishaji na kufanikiwa kuuza katika soko la nje. Pia, tunahitaji kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani..sio kila kitu kununua kutoka nje (toothpick, viberiti, diapers, office furnitures, nk)

Kumbuka, dunia sasa ni kijiji (global village). Ni vigumu sana kujifungia kama unavyoshauri. Tuache kukimbilia shortcuts kwenye masuala yanayohitaji kufanyiwa kazi ili nchi isonge mbele.

Umenena vyema mkuu
 
Pamoja na kukubaliana na mtoa mada, njia mama kabisa na ya muda mrefu ya kupunguza thamani ya dola ni kurudisha a balance of trade kati yetu na mataifa mengine.

1. Inabidi tutengeneze strategy ya kupunguza ununuaji bidhaa kutoka nje. Tununue tu vitu vya muhimu na ambavyo haviwezi kupatikana hapa nchini.

2. Tufufue viwanda vyetu ili tuweze kuongeza uzalishaji wa bidhaa zitakazouzwa nje
 
Kwanza nnakuuliza ni nani alikuambia kuwa shillingi ya Tanzania inahitaji kuimarishwa?

Umeandika kichwa cha habari kingine na utumbo mwingine.

Unataka kuimarisha shillingi au unataka kushusha thamani ya dollar? Fikiri.

Naomba elimu hapo kwenye kuimarisha shilingi na kushusha thamani ya dollar. Siwezi fikiri bila elimu ya kuanzia. Pls nimekuwa nikitatizwa sana na hivi vitu. Kuna kipindi China walishusha thamani ya pesa yao, watu wakawajia juu kumbe wao walikuwa na strategy yao kiuchumi. Honestly sielewi haya makitu
 
Nashauri uangalie na kuzingatia maandiko. Shilingi haishuki thamani kienyeji...factor inayochangia sarafu yetu kushuka thamani ni uchumi unaotegemea zaidi bidhaa kutoka nje, kuliko uzalishaji wetu na hivyo kutukosesha mapato ya fedha za kigeni..at the end of the day, kama Taifa, tunakuwa na BoP HASI.

Njia pekee ya kufanya sarafu yetu iwe strong ni kuongeza uzalishaji na kufanikiwa kuuza katika soko la nje. Pia, tunahitaji kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani..sio kila kitu kununua kutoka nje (toothpick, viberiti, diapers, office furnitures, nk)

Kumbuka, dunia sasa ni kijiji (global village). Ni vigumu sana kujifungia kama unavyoshauri. Tuache kukimbilia shortcuts kwenye masuala yanayohitaji kufanyiwa kazi ili nchi isonge mbele.

Unataka kutwambia Somalia wanazalisha
 
kombi gani umesoma;

kama hujui kitu ; Omba msaada;

KAMA HUNA DEGREE YA UCHUMI KAA KIMYA ; AU SOMA KWA NJIA YA POST





Me nafikiri hujamtendea haki hata wewe nina mashaka na elimu yako, comb ukiwa na maana ya EGM, HGE na nyingine zenye element ya ECONOMICS bado ni elimu ndogo labda level ya chuo. mtu aliyeenda shule hupenda kusaidia wasio na uelewa mzuri katika taaruma, mleta thread ana point siyo zote ni zero, ni ukweli usiopingika kuwa hizo factor ni baadhi japo hazina effect kwa kiwango cha juu, labda ungemuongezea elimu kidogo km nchi kushindwa kuuza nje bidhaa unavyoathiri shilingi kuanguka, lkn pia ufisadi nao unachangia kwaani ktk nchi ambayo wezi wanahamisha pesa nje ya nchi uchumi unayumba, mfano tangu sakata la ESCROW uchumi ulitikisika, kitu ni budget deficit ambayo inasababisha nchi kuomba msaada wa pesa za kigeni kufidia gape, kumbuka pesa hizo haziji km shilingi, bali zinakuja km pesa za kigeni, hivyo ili zitumike nchini inabidi TZS izinunue kuwa shilingi.

The increase in the budget deficit leads to an increase in the trade deficit. Factors that can cause a nation's currency to appreciate or depreciate include: Relative Product Prices - If a country's goods are relatively cheap, foreigners will want to buy those goods.

Kwa mfano huo hapo juu inaonyesha kuwa nchi inatakiwa kuzarisha bidhaa na kuziuza kwa bei ya chini, lkn sisi achilia mbali kuwa bei ya chini hatuzarishi hizo bidhaa.
 
Mtoa post you are brilliant, all your points if implemented the value of our shilling will be stable.
I think it is the right time now the BOT governor to step down because, he has reached to a no return point.
 
1.Staafisha Gavana wa benki kuu kwani ni mzigo.
2.Piga marufuku matumizi ya sarafu ya dollar ya Marekani kwa matumizi ndani ya nchi.
3.Wasafiri wote nje ya nchi waonyeshe passport zenye viza na ticket wanaponunua fedha za kigeni kutoka benki au bureau de change kuthibitisha kuwa wanazihitaji kwa matumizi nje ya nchi.
4.Wakaguzi wa BOT wahakikishe kuwa bureau de change zote zinafuata sheria na zinazokiuka zifutiwe leseni.
5.Wananchi wawe wazalendo kwa kutoa taarifa BOT wanapoona mtu yeyote anauza bidhaa kwa fedha za kigeni hapa nchini.
6.BOT watoe namba ya simu ya bure(toll
free hotline) kwa wananchi kutoa taarifa.
7.Hatua hizi zitapunguza kabisa mahitaji ya fedha za kigeni hivyo zitapungua thamani na shilingi itapata nguvu. Majirani zetu wamefaulu kwa nini tushindwe?

Naamini sheria zipo lakini BOT ni jipu lingine linalohitaji kutumbuliwa.

Bado hujaipata vizuri Financial Management/Accounts Mkuu.......
Sababu moja uliyoitaja hapa ni Control of Foreign Currency in Tanzania...
But there are many reasons which causes Fall of currency in TAnzania, The first one and Major strong Being EXport and Import.
Utakubaliana na Mimi, Tunafanya Import kubwa sana Tanzania, Hii inamaanisha tunanunua sana dola ya Marekani ili tuweze kununua Mizigo kutoka nje ya nchi ambayo yote hununuliwa kwa dola, na malipo mengi ambayo yanafanyika sehemu zenye Mzunguko wa Pesa ni kwa dola, take example Airport, Ports and Hotels.

The Best way to solve this ni kuhakikisha uzalishaji wa Mazao ili wakija wageni na dola zao wananunua shilingi ya Tanzania( inapanda thamani),

Lakini serikali ishushe Bei za BAsic needs:
kwa mfano Mafuta ya gari,
mafuta ya kula na vyakula,
inshort gharama za maisha zishuke kuzuia mfumuko wa Bei ili pesa yetu izidi kuwa na thamani, hasa vocha wauze hadi shilingi 200.
 
Back
Top Bottom