Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

naitumia kama ilivyo au kuna vitu vya kuchanganyia ?
b6bd0c9f21dab9497b7495183a267461.jpg
8d440accb589d3329c85638ab9e7bdb9.jpg
 
ungemuuliza usipojipanga huko huko insta,au ukajiunge na grupu lake la whatsapp.au kiingilio ni shida mkuu?
halafu we ni Ke? acha kuamini amini mambo kirahisi rahisi mama
Mbona povu au we ndio usipojipanga nini mkuu. .kiingilio sio tatizo kuna my cousin yupo kwa hilo group sasa namuona anahangaika na kila anachokipata huko ndio nikaona niulize huku kama hivo vitu vipo kweli au vipi..
 
ungemuuliza usipojipanga huko huko insta,au ukajiunge na grupu lake la whatsapp.au kiingilio ni shida mkuu?
halafu we ni Ke? acha kuamini amini mambo kirahisi rahisi mama
Huyo ananiacha hoi amewaambia mkojo unamrudisha aliekuacha au unamsahau wadada wanakunywaa mkojo kama hawana akir nzur sasa nimeona somo la chumvi na mshumaa jaman jaman na bado wanaingia kwa kiingilio mwez mmoja elfu 5000/=dunia hii jaman
 
MziziMkavu hajanikosa kitu.

Hivi nikimpa mtu darsa wewe unadhani amenikosea? Dhanna hiyo ni ya mapunguani tu.

Hao unaowaona wanajipachika u "Doctor" wasionao ndiyo haohao mapunguani tu.

U "Doctor" amma usome amma iwe tuzo ya kiheshima lakini si kujipachika tu mwenyewe.

Samahani Nikikuita Dr. FaizaFox. Nitakuwa nimekosea? hata kama hutaki nitakuita tu Utafanyeje?
 
Kuna jamaa alikuwa anasimulia ukienda kuomba chumvi usiku kwa jirani hakupi

Alikuwa anasisitiza kabisa hebu jaribu kuomba chumvi au sindano hutopewa. Sabb wataogopa kurogwa

Na nikifikiria nilivyokuwa mdogo paka wakiwa wanapigana na kutoa saiti mbaya mama huwa anachukua chumvi ndani na kuwarushia

Chumvi sasa inatumikaje kuroga hizi imani hizi ase
 
Back
Top Bottom