Mbona povu au we ndio usipojipanga nini mkuu. .kiingilio sio tatizo kuna my cousin yupo kwa hilo group sasa namuona anahangaika na kila anachokipata huko ndio nikaona niulize huku kama hivo vitu vipo kweli au vipi..ungemuuliza usipojipanga huko huko insta,au ukajiunge na grupu lake la whatsapp.au kiingilio ni shida mkuu?
halafu we ni Ke? acha kuamini amini mambo kirahisi rahisi mama
Inaondoa vip ?Ni kweli inaondoa mikosi
Huyo ananiacha hoi amewaambia mkojo unamrudisha aliekuacha au unamsahau wadada wanakunywaa mkojo kama hawana akir nzur sasa nimeona somo la chumvi na mshumaa jaman jaman na bado wanaingia kwa kiingilio mwez mmoja elfu 5000/=dunia hii jamanungemuuliza usipojipanga huko huko insta,au ukajiunge na grupu lake la whatsapp.au kiingilio ni shida mkuu?
halafu we ni Ke? acha kuamini amini mambo kirahisi rahisi mama
wakiambiwa watoe sadaka nyumba za ibaada hawataki wanaona wanaibiwa ila kwa tapeli wanaona sawaHuyo ananiacha hoi amewaambia mkojo unamrudisha aliekuacha au unamsahau wadada wanakunywaa mkojo kama hawana akir nzur sasa nimeona somo la chumvi na mshumaa jaman jaman na bado wanaingia kwa kiingilio mwez mmoja elfu 5000/=dunia hii jaman
whitch doctorSiku hizi na yeye huyo punguani mwengine eti na yeye anajiita "Dr." MziziMkavu.
Nilimuuliza huo u "Doctor" kaupatapataje? hajajibu hadi leo hii.
Hizi maada zingine naona hazina mantiki yeyote watu wanazileta kwa lengo la kungojelea tu ugali uive wakale wakalale!!.Kamata fursa twenzetu
MziziMkavu hajanikosa kitu.
Hivi nikimpa mtu darsa wewe unadhani amenikosea? Dhanna hiyo ni ya mapunguani tu.
Hao unaowaona wanajipachika u "Doctor" wasionao ndiyo haohao mapunguani tu.
U "Doctor" amma usome amma iwe tuzo ya kiheshima lakini si kujipachika tu mwenyewe.