Subuli = subirisubuli wanakuja washirikina
kweli sababu watu hawachelewi .. maji tunauziwa elfu hamsini kichupa unaambiwa ya upako.. chumvi ikipanda chakula kitalika kweli?Hahahaaa miss chagga ghafla utasikia chumvi ni dili ..
inasaidia niniNilijua matumizi ya chumvi katika kupiga deki
Maisha yatakuwa magumuHeheee i can only imagine chakula bila chumvi..
Siku hizi na yeye huyo punguani mwengine eti na yeye anajiita "Dr." MziziMkavu.
Nilimuuliza huo u "Doctor" kaupatapataje? hajajibu hadi leo hii.
Heee vitu vingine waweza kushangaa hadi basi..Labda kweli maana nilishaenda kusalimia sehemu ilipofika usiku bundi wakawa wanalia sana juu ya ile nyumba basi wenye mji wakatoa jiko nje wakaweka chumvi kwenye moto ikawa inalia kama baruti flan hv baada yapo ckusikia bundi mpk naondoka
Chumvi gani?!Au ile ya kuungia mbonga?Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Chemsha supu kunywa kutwa mara tatuKweli tusaidiane wakuu namna ya kuondoa mikosi maana sio kwa nuksi hii iliyoniandama. Chunvi unaifanyaje
Asante mkuu. Mwingine mwenye mawazo tofautiChemsha supu kunywa kutwa mara tatu
unayo ntani?Ni kweli kabisa na hata bwana Yesu aliitumia sana kutakasa lakini maranyingi ni chumvi ya mabonge
Hapana ila inapatikana kwenye masoko mengiunayo ntani?
naitumia kama ilivyo au kuna vitu vya kuchanganyia ?Hapana ila inapatikana kwenye masoko mengi
Kama ilivyo unachanganya na maji na mafuta ya mzeituni unaogea au kumwaga kuzunguka nyumba huku ukinuizianaitumia kama ilivyo au kuna vitu vya kuchanganyia ?