Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,750
Inawezekana kabisa bila shaka
Na ukikosa olive oil.. huezi tumia chumvi pekee?
Na ukikosa olive oil.. huezi tumia chumvi pekee?
Aisee chalii yangu chumvi imeleta positive sana kwanguInawezekana kabisa bila shaka
Siku hizi na yeye huyo punguani mwengine eti na yeye anajiita "Dr." MziziMkavu.
Nilimuuliza huo u "Doctor" kaupatapataje? hajajibu hadi leo hii.
Kesho watashuhudia ukijilamba CONI unapata utakacho akili zetu tunazijua wenyewe
Haaaaaa Tumia chumvi asiliHeshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Hakika, ila watu wengi hatuna maarifa ndio maana tunaangamia kwa kukosa maarifa na ninyi wenye maarifa ndio mnatupoteza zaidi.
Fuata mashart ya matumizi yake kwa usahihi mkuu chumvi ni tiba kubwa sana kwenye kuponya watu.Mi sijaona cha ajabu hata kidogo nimetumia mpaka mfuko umeisha.
Nimefuata mkuu si ndo haya kaorodhesha Mshana au labda nakosea.Fuata mashart ya matumizi yake kwa usahihi mkuu chumvi ni tiba kubwa sana kwenye kuponya watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijayaona mkuu nimetumia kama wiki 3 nilinunua pakti kariakoo pale sijaona changes zozote au niko pure.Matokeo?
Jr
Sijayaona mkuu nimetumia kama wiki 3 nilinunua pakti kariakoo pale sijaona changes zozote au niko pure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wakati inanunua ilikuwa na shida gani ulitaka kutibu? Je bado ipo?Sijayaona mkuu nimetumia kama wiki 3 nilinunua pakti kariakoo pale sijaona changes zozote au niko pure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto mkuu naota nakimbizwa sana kila mara inajirudia.Kwani wakati inanunua ilikuwa na shida gani ulitaka kutibu? Je bado ipo?
1 ikiwa ipo bado ku a sehem umekosea
2. Ikiwa ulitumia tu kwa mkumbo bas tambua uko pure