Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,092
Reaction score
136,660
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya Rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa Rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Matukio ya kutengeneza:

1.Magufuli kusema vichwa vya treni havina mmiliki kumbe ni vya serikali!

2. Sakata la acacia na makinikia.

3.....
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Kwa hiyo ni jukumu la nani kuhakikisha hii taharuki inatoweka kwa wananchi. Kuna siku unatoa hoja nzuri lkn sometime unatoa mashudu. Umeshindwa kutambua jukumu la kuhakikisha usalama kwa raia ni la nani kabla ya kuposti huu uzi wako?
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.

Just because umeanza kupatwa na mashaka doesn't mean you're right. And in fact, even if you were right, nobody cares
 
Nani ana PhD?
Kazi IPO.
IMG_20180307_233447.jpg
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.

We una mahaba sana na issues....

Bora ungesubiri full statement ya dogo ndo uje na huu upupu hapa.... otherwise na wewe unaonekana ni wale wale tu.
 
Wacha niseme mawazo yangu.

Napata hisia kama zako juu ya matukio haya. Huyu dogo wanasema alianza kutishwa siku za karibuni lakini bado aliendelea kutochukua tahadhari na kutembea saa 6 usiku peke yake. Inashangaza kama huyo ni msomi wa UDSM.

Pili alipata wasaa wa kutuma ujumbe yupo hatarini badala ya kupiga simu kwa watu wake waje waambatane kwenda mahali salama. Na kukaa mahali walipo watu wengi huku akisubiri msaada. Au unapiga simu namba za dharura kuomba msaada kwamba unavamiwa.

Maswali mengi lakini mengine naweka kiporo.
 
Kwa hiyo ni jukumu la nani kuhakikisha hii taharuki inatoweka kwa wananchi. Kuna siku unatoa hoja nzuri lkn sometime unatoa mashudu. Umeshindwa kutambua jukumu la kuhakikisha usalama kwa raia ni la nani kabla ya kuposti huu uzi wako?
Hayo ni mawazo tu kaka povu la nini,haifai kuona kila litokealo upande ule ni sahihi hata kama ni tango pori.
 
Utakua ni udhaifu mkubwa kupitiliza vyombo vyenye dhamana husika kushindwa kutambua hilo na kuchukua hatua stahiki.

Naogopa kusema kuna uzembe, ila siku zote samaki akianza kuoza, kichwa kinaanza kuharibika kwanza.

Tatizo awamu hii vitimbi vingi sana
 
wacha niseme mawazo yango.

Napata hisia kama zako juu ya matukio haya.
Huyu dogo wanasema alianza kutishwa siku za karibuni lakini bado aliendelea kutochukua tahadhari na kutembea saa 6 usiku peke yake. Inashangaza kama huyo ni msomi wa UDSM.

Pili alipata wasaa wa kutuma ujumbe yupo hatarini badala ya kupiga simu kwa watu wake waje waambatane kwenda mahali
salama. Na kukaa mahali walipo watu wengi huku akisubiri msaada. Au unapiga simu namba za dharula kuomba msaada kwamba unavamiwa.

Maswali mengi lakini mengine naweka kiporo.

Maswali kuntu kabisa hayo.
 
wacha niseme mawazo yango.

Napata hisia kama zako juu ya matukio haya.
Huyu dogo wanasema alianza kutishwa siku za karibuni lakini bado aliendelea kutochukua tahadhari na kutembea saa 6 usiku peke yake. Inashangaza kama huyo ni msomi wa UDSM.

Pili alipata wasaa wa kutuma ujumbe yupo hatarini badala ya kupiga simu kwa watu wake waje waambatane kwenda mahali
salama. Na kukaa mahali walipo watu wengi huku akisubiri msaada. Au unapiga simu namba za dharula kuomba msaada kwamba unavamiwa.

Maswali mengi lakini mengine naweka kiporo.

Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao

Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara

Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu

Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.

Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha

Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini

Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO

HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII

*JONATHANA KWEPE*
 
.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao

Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara

Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu

Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.

Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha

Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini

Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO

HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII

*JONATHANA KWEPE*
Duh, unaona sasa?
 
Kwa mfano wewe una sababu zipi zinakufanya uamini kwamba haya ni matukio ya kutengeneza, mpaka unafika hatua unashauri "tustuke"? Hata polisi wenyewe ktk chunguzi zao zote hawajawahi kusema kwamba wamechunguza wamejiridhisha kuwa haya ni matukio ya kutengenezwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom