Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,200
- 85,298
theory ya toilet paper!!
nijuavyo ikishatumiwa hutupwa!
Huu ni ugomvi wa mawe kabisa
theory ya toilet paper!!
nijuavyo ikishatumiwa hutupwa!
Hivi hawa kuna hata mmoja aliepewa ingalau hata ukatibu kata?
Ni kweli mkuu. ...hao wanaangaliaga maslahi tuHawa unawaonea tu. Ni bahati tu kuwa "celebrity" katika jamii lakini haimaanishi kuwa wana uwezo wa kuchanganua mambo. Naamini na najua, wengi wao ni mizigo vibaya sana "darini". Wametumika 2010, wametumika 2015 na watatumika tena 2020. Hawana akili, utashi na nguvu ya kukwepa asali za wanasiasa; wawe wa upinzani au chama tawala.
Ha ha ha! wewe unapenda sifa sanaZuii.......
View attachment 452431
Teh!teh!!Sawa tu acha niwe Mr.Misifa kwani pia nishakubaliana na mama kijacho tumwite Mwanamchochezi.Ha ha ha! wewe unapenda sifa sana
utaitwa mchochezi
Teh!teh!!Sawa tu acha niwe Mr.Misifa kwani pia nishakubaliana na mama kijacho tumwite Mwanamchochezi.