Matrafiki kukaa Barabarani kunasababisha maradhi ya Moyo na msongo wa mawazo kwa Madereva

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Jeshi la Polisi Tanzania Lina utaratibu la kuwapa vitendea kazi trafki yaani askari wa usalama barabarani vikiwemo Mashine ya Risiti na Tochi ya kukamatia waozidi mwendo wa 50 jambo ambalo ni tofauti na nchi za wenzetu ambapo trafiki wao hupewa Silaha, gari na nyenzo nyingine muhimu.

Jambo hili limeondoa maana ya askari kufanya shughuli takwa na inaonekana lengo kubwa kwao ni kukusanya fedha ,na huwa wamejipanga barabarani sehemu ambayo imejengwa kwa Kodi Ili raia wapite kwa usalama na bila hofu.

Kitendo cha Trafki kusimama barabarani na Mashine ya Risiti na Tochi kinaleta hofu kubwa sana kwa Madereva , na hivyo kuwaletea Msongo mkubwa wa mawazo na kuwasababishia magonjwa ya Moyo, presha na sukari. Hakuna jambo baya barabarani Kama kusimamishwa na Trafki akiwa na vitendea kazi vyake.

Kila dereva akiingia barabarani jambo la kwanza kuwaza ni Trafki, na wahanga wakubwa ni Madereva wa Mafuso ya mchanga, virikuu, pickup, malori ya mizigo, watu Hawa wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ya Msongo ikiwemo presha sababu ya kukutana na stress za Trafki kila siku.

Jambo jingine kitendo Cha Trafki kuwa barabarani ni kitendo Cha mambo ya Rushwa, Polisi wanafundisha raia kutenda makosa ya Rushwa, Polisi huko barabarani wamewafundisha watu kuwa Rushwa ndo tiba ya matatizo yako,

Hali iliyopelekea na Madereva nao huko mtaani wanakoenda wanaeneza elimu ya Rushwa waliofundishwa barabarani na hivyo kupelekea nchi nzima kunuka Rushwa.

Itafutwe namna nyingine nzuri ya kudeal na usalama kuliko hao jamaa wenye nguo nyeupe na kofia nyeupe, ukiwaona tu moyo unastuka
 
Jeshi la Polisi Tanzania Lina utaratibu la kuwapa vitendea kazi trafki yaani askari wa usalama barabarani vikiwemo Mashine ya Risiti na Tochi ya kukamatia waozidi mwendo wa 50 jambo ambalo ni tofauti na nchi za wenzetu ambapo trafiki wao hupewa Silaha, gari na nyenzo nyingine muhimu.

Jambo hili limeondoa maana ya askari kufanya shughuli takwa na inaonekana lengo kubwa kwao ni kukusanya fedha ,na huwa wamejipanga barabarani sehemu ambayo imejengwa kwa Kodi Ili raia wapite kwa usalama na bila hofu.

Kitendo cha Trafki kusimama barabarani na Mashine ya Risiti na Tochi kinaleta hofu kubwa sana kwa Madereva , na hivyo kuwaletea Msongo mkubwa wa mawazo na kuwasababishia magonjwa ya Moyo, presha na sukari. Hakuna jambo baya barabarani Kama kusimamishwa na Trafki akiwa na vitendea kazi vyake.

Kila dereva akiingia barabarani jambo la kwanza kuwaza ni Trafki, na wahanga wakubwa ni Madereva wa Mafuso ya mchanga, virikuu, pickup, malori ya mizigo, watu Hawa wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ya Msongo ikiwemo presha sababu ya kukutana na stress za Trafki kila siku.

Jambo jingine kitendo Cha Trafki kuwa barabarani ni kitendo Cha mambo ya Rushwa, Polisi wanafundisha raia kutenda makosa ya Rushwa, Polisi huko barabarani wamewafundisha watu kuwa Rushwa ndo tiba ya matatizo yako,

Hali iliyopelekea na Madereva nao huko mtaani wanakoenda wanaeneza elimu ya Rushwa waliofundishwa barabarani na hivyo kupelekea nchi nzima kunuka Rushwa.

Itafutwe namna nyingine nzuri ya kudeal na usalama kuliko hao jamaa wenye nguo nyeupe na kofia nyeupe, ukiwaona tu moyo unastuka
Unaweza ukawa sahihi kwa sehemu ila kuna mambo ya kuzingatia, changamoto za madereva katika nchi nyingine ni tofauti na changamoto zilizopo hapa nchini, mf, ugonjwa mkubwa hapa kwetu ni kutofuata sheria&kutozingatia ubora wa magari, hilo halihitaji Silaha, bali fine kwa sheria zetu!

Aidha, ukitizama kwa makini, Askari Trafic huwa pamoja na Askari wengine wenye silaha kwa baadhi ya maeneo yenye uhitaji.

Hata hivyo, wapo baadhi ya Askari ambao hutumia nafasi ya uwepo wao barabarani kama fursa ya kiuchumi binafsi/nchi.

Hilo si sawa.
 
images - 2022-03-14T090601.742.jpeg
 
Jeshi la Polisi Tanzania Lina utaratibu la kuwapa vitendea kazi trafki yaani askari wa usalama barabarani vikiwemo Mashine ya Risiti na Tochi ya kukamatia waozidi mwendo wa 50 jambo ambalo ni tofauti na nchi za wenzetu ambapo trafiki wao hupewa Silaha, gari na nyenzo nyingine muhimu.

Jambo hili limeondoa maana ya askari kufanya shughuli takwa na inaonekana lengo kubwa kwao ni kukusanya fedha ,na huwa wamejipanga barabarani sehemu ambayo imejengwa kwa Kodi Ili raia wapite kwa usalama na bila hofu.

Kitendo cha Trafki kusimama barabarani na Mashine ya Risiti na Tochi kinaleta hofu kubwa sana kwa Madereva , na hivyo kuwaletea Msongo mkubwa wa mawazo na kuwasababishia magonjwa ya Moyo, presha na sukari. Hakuna jambo baya barabarani Kama kusimamishwa na Trafki akiwa na vitendea kazi vyake.

Kila dereva akiingia barabarani jambo la kwanza kuwaza ni Trafki, na wahanga wakubwa ni Madereva wa Mafuso ya mchanga, virikuu, pickup, malori ya mizigo, watu Hawa wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ya Msongo ikiwemo presha sababu ya kukutana na stress za Trafki kila siku.

Jambo jingine kitendo Cha Trafki kuwa barabarani ni kitendo Cha mambo ya Rushwa, Polisi wanafundisha raia kutenda makosa ya Rushwa, Polisi huko barabarani wamewafundisha watu kuwa Rushwa ndo tiba ya matatizo yako,

Hali iliyopelekea na Madereva nao huko mtaani wanakoenda wanaeneza elimu ya Rushwa waliofundishwa barabarani na hivyo kupelekea nchi nzima kunuka Rushwa.

Itafutwe namna nyingine nzuri ya kudeal na usalama kuliko hao jamaa wenye nguo nyeupe na kofia nyeupe, ukiwaona tu moyo unastuka
Yaani kama morogoro-gairo-dodoma si traffic wenye mavazi meupe tu. Barabarani kumejaa polisi hata inspectors wenye nyota tatu. Unakuta kundi la traffic na polisi wa kawaida mpaka saba au zaidi, kati yao kuna instector nyota moja, mbili mpaka tatu. Ni mambo ya aibu sana. jeshi la polisi limeanza kuwa la ajabu sana.

Cha kusikitisha unakuta wamekaa mahali ambapo hakuna hata speed limit, wanasimamisha magari hovyo hovyo tu. safari ya masaa mawili unajikuta umetumia masaa matano.

Yaani unakuta Inspector nyota tatu anahangaika na noah zinazopiga route ya dumila - gairo
 
Jeshi la Polisi Tanzania Lina utaratibu la kuwapa vitendea kazi trafki yaani askari wa usalama barabarani vikiwemo Mashine ya Risiti na Tochi ya kukamatia waozidi mwendo wa 50 jambo ambalo ni tofauti na nchi za wenzetu ambapo trafiki wao hupewa Silaha, gari na nyenzo nyingine muhimu.

Jambo hili limeondoa maana ya askari kufanya shughuli takwa na inaonekana lengo kubwa kwao ni kukusanya fedha ,na huwa wamejipanga barabarani sehemu ambayo imejengwa kwa Kodi Ili raia wapite kwa usalama na bila hofu.

Kitendo cha Trafki kusimama barabarani na Mashine ya Risiti na Tochi kinaleta hofu kubwa sana kwa Madereva , na hivyo kuwaletea Msongo mkubwa wa mawazo na kuwasababishia magonjwa ya Moyo, presha na sukari. Hakuna jambo baya barabarani Kama kusimamishwa na Trafki akiwa na vitendea kazi vyake.

Kila dereva akiingia barabarani jambo la kwanza kuwaza ni Trafki, na wahanga wakubwa ni Madereva wa Mafuso ya mchanga, virikuu, pickup, malori ya mizigo, watu Hawa wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ya Msongo ikiwemo presha sababu ya kukutana na stress za Trafki kila siku.

Jambo jingine kitendo Cha Trafki kuwa barabarani ni kitendo Cha mambo ya Rushwa, Polisi wanafundisha raia kutenda makosa ya Rushwa, Polisi huko barabarani wamewafundisha watu kuwa Rushwa ndo tiba ya matatizo yako,

Hali iliyopelekea na Madereva nao huko mtaani wanakoenda wanaeneza elimu ya Rushwa waliofundishwa barabarani na hivyo kupelekea nchi nzima kunuka Rushwa.

Itafutwe namna nyingine nzuri ya kudeal na usalama kuliko hao jamaa wenye nguo nyeupe na kofia nyeupe, ukiwaona tu moyo unastuka
Hakikisha gari imekamilika hasa kwenye taa hasa zs break
Hakikisha una bima
Hakikisha una leseni ya daraja lako
Hakikisha tairi sio vipara
Hakikisha unakuwa na nidhamu na kufuata sheria zote za barabarani
Ukiwa kamili hivyo tembea kifua mbele kwakuwa hata kama atakukamata itakuwa ni minor offence ambayo unapaswa tu kuonywa
 
Unaweza ukawa sahihi kwa sehemu ila kuna mambo ya kuzingatia, changamoto za madereva katika nchi nyingine ni tofauti na changamoto zilizopo hapa nchini, mf, ugonjwa mkubwa hapa kwetu ni kutofuata sheria&kutozingatia ubora wa magari, hilo halihitaji Silaha, bali fine kwa sheria zetu!

Aidha, ukitizama kwa makini, Askari Trafic huwa pamoja na Askari wengine wenye silaha kwa baadhi ya maeneo yenye uhitaji.

Hata hivyo, wapo baadhi ya Askari ambao hutumia nafasi ya uwepo wao barabarani kama fursa ya kiuchumi binafsi/nchi.

Hilo si sawa.
Hao wenye silaha ndio hufanya na uporaji kabisa kama walivyomfanyia dereva wa Dangote kule Lindi miezi michache iliyopita. Kwa ufupi, polisi ni problema, iwe barabarani au vituoni mwao
 
Jeshi la Polisi Tanzania Lina utaratibu la kuwapa vitendea kazi trafki yaani askari wa usalama barabarani vikiwemo Mashine ya Risiti na Tochi ya kukamatia waozidi mwendo wa 50 jambo ambalo ni tofauti na nchi za wenzetu ambapo trafiki wao hupewa Silaha, gari na nyenzo nyingine muhimu.

Jambo hili limeondoa maana ya askari kufanya shughuli takwa na inaonekana lengo kubwa kwao ni kukusanya fedha ,na huwa wamejipanga barabarani sehemu ambayo imejengwa kwa Kodi Ili raia wapite kwa usalama na bila hofu.

Kitendo cha Trafki kusimama barabarani na Mashine ya Risiti na Tochi kinaleta hofu kubwa sana kwa Madereva , na hivyo kuwaletea Msongo mkubwa wa mawazo na kuwasababishia magonjwa ya Moyo, presha na sukari. Hakuna jambo baya barabarani Kama kusimamishwa na Trafki akiwa na vitendea kazi vyake.

Kila dereva akiingia barabarani jambo la kwanza kuwaza ni Trafki, na wahanga wakubwa ni Madereva wa Mafuso ya mchanga, virikuu, pickup, malori ya mizigo, watu Hawa wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ya Msongo ikiwemo presha sababu ya kukutana na stress za Trafki kila siku.

Jambo jingine kitendo Cha Trafki kuwa barabarani ni kitendo Cha mambo ya Rushwa, Polisi wanafundisha raia kutenda makosa ya Rushwa, Polisi huko barabarani wamewafundisha watu kuwa Rushwa ndo tiba ya matatizo yako,

Hali iliyopelekea na Madereva nao huko mtaani wanakoenda wanaeneza elimu ya Rushwa waliofundishwa barabarani na hivyo kupelekea nchi nzima kunuka Rushwa.

Itafutwe namna nyingine nzuri ya kudeal na usalama kuliko hao jamaa wenye nguo nyeupe na kofia nyeupe, ukiwaona tu moyo unastuka
Na cha ajabu hawa askari hawajali kabisa kuhusu saikolojia ya dereva na usalama wa watumiaje wengine wa barabara. Anamsimamisha dereva na kumbambikia kosa na kumtwanga faini, dereva anabishana na askari kupinga ubambikwaji anatishiwa kuwekwa selo au anajibiwa shombo na kuamriwa kuondoka eneo la tukio ama sivyo atashtakiwa kwa kumzuia askari kufanya kazi yake.

Sasa, askari wa usalama barabarani, hivi mnategemea huyu dereva aliegadhibishwa hivyo ataendesha gari sawasawa? Usalama wa kwake mwenyewe, abiria aliowabeba na watumiaji wengine wa barabara anaopishana nao unakuaje? Imajini madereva wawili waliobambikwa makosa na faini wanapishana, yaani wanaendesha magari huku wana mawazo ya kwa nini wameonewa, nini kinatokea?? Hamjui kuwa dereva anapoendesha huku ana hasira na saikolojia haijakaa sawa ni hatari maana anahatarisha usalama wake mwenyewe na wa watumiaji wengine wa barabara??

Maaskari wa barabarani, Badilikeni - boresheni usalama barabarani badala ya kuchochea hatari barabarani kwa kuharibu utulivu wa akili za madereva wawapo barabarani wakiendesha vyombo vya moto.
 
Wewe utakuwa polisi tu ,,Mimi Ni raia mwema na Nina chombo Cha usafiri hakika mna mambo ya hovyo kabsa ,,,

Hamza hakukosea kabisa!!
Naungana na huyo jamaa u anaemcrash hapo, kama gari yako imekamilika na huna mapungufu yoyote wewe mwenyewe na gari yako hofu ya Nini? Yani utamuogopaje trafik, kwa lipi?
Hata hao wanaotoa rushwa kwa trafik je huwa hawakutwi na makosa kweli? Utatoaje Kama gari imekamilika?
Nina chombo pia
 
Naungana na huyo jamaa u anaemcrash hapo, kama gari yako imekamilika na huna mapungufu yoyote wewe mwenyewe na gari yako hofu ya Nini? Yani utamuogopaje trafik, kwa lipi?
Hata hao wanaotoa rushwa kwa trafik je huwa hawakutwi na makosa kweli? Utatoaje Kama gari imekamilika?
Nina chombo pia
Gari inaweza kuwa imekamilika, nawe umekamilika, lakini ikatokea umefanya kosa la kibinadamu kabisa, badala wakuonye wao either watakuandikia fine au watataka rushwa. Kwa mfano, kuna siku nilikuwa natoka Dodoma, nikapigwa mkono na trafiki kwenye mojawapo ya wilaya zilizopo kati ya Dodoma na Babati, akadai nimeoverspeed. Nikamwambia, toka nimetoka Dodoma, nimejitahidi sana kuufuata speed limits, akaniletea ile mashine yake, ikawa inasoma 51 km/h. Niliishia kuandikiwa fine baada ya juhudi za kumuelekeza kuwa just a warning could've sufficed.
 
Hivi matrafik wasipokaa road
Huko barabarani si itakuwa shida
Maana wabongo mpaka mpelekeshwe
Nyie

Ova
 
Naungana na huyo jamaa u anaemcrash hapo, kama gari yako imekamilika na huna mapungufu yoyote wewe mwenyewe na gari yako hofu ya Nini? Yani utamuogopaje trafik, kwa lipi?
Hata hao wanaotoa rushwa kwa trafik je huwa hawakutwi na makosa kweli? Utatoaje Kama gari imekamilika?
Nina chombo pia
Hiyo Ni kazi ya laana ht Mtu aitetee vipi...mnaombaomba pesa kijinga jinga Sana ..ukijifanya kuwaambia ukweli eti ndio wanalazimisha makosa ....
 
Hivi matrafik wasipokaa road
Huko barabarani si itakuwa shida
Maana wabongo mpaka mpelekeshwe
Nyie

Ova
Siku wasizokaa mbona hakuna tatizo ..kila anaetetea hao wahuni Ni mpuuzi unless otherwise wabadili tabia
 
Back
Top Bottom