Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,000
- 828,764
Zamani ilikuwa ni usafiri mpaka kwa viongozi kulingana na kaliba.. Na baiskeli ilikuwa usafiri wa kutumainiwa Sana
Matoleo maarufu ya enzi hizo yalikuwa
Rareigh
Phoenix.. Hizi walikuja kujenga kiwanda pale Mwenge.. Sass hivi kiwanda cha madawa
Haya matoleo zilikuwa baiskeli hasa kwa safari kwa leisure na kwa kazi pamoja na kubeba mizigo
Watendaji kwenye vijiji vya ujamaa nyakati hizo waligaiwa hizi baiskeli na walidumu nazo kwa miaka
Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa na yake pia akiitumia kwenye shughuli zake binafsi
Idd Amin Dada aliyekuwa rais wa Uganda naye alipendelea usafiri huo hasa alipokuwa akienda sokoni
Zilikuwa ni baiskeli ngumu na imara sana.. Kiasi kwamba ukikuta imepata ajali mpaka ringi kupinda hiyo ni ajali kubwa Sana..
Anyway nyakati zimepita na serikali iliachana na huo usafiri kwa watendaji wake wa chini vijijini mpaka 2025 ilipokuja na toleo jipya
Matoleo maarufu ya enzi hizo yalikuwa
Rareigh
Phoenix.. Hizi walikuja kujenga kiwanda pale Mwenge.. Sass hivi kiwanda cha madawa
Haya matoleo zilikuwa baiskeli hasa kwa safari kwa leisure na kwa kazi pamoja na kubeba mizigo
Watendaji kwenye vijiji vya ujamaa nyakati hizo waligaiwa hizi baiskeli na walidumu nazo kwa miaka
Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa na yake pia akiitumia kwenye shughuli zake binafsi
Idd Amin Dada aliyekuwa rais wa Uganda naye alipendelea usafiri huo hasa alipokuwa akienda sokoni
Zilikuwa ni baiskeli ngumu na imara sana.. Kiasi kwamba ukikuta imepata ajali mpaka ringi kupinda hiyo ni ajali kubwa Sana..
Anyway nyakati zimepita na serikali iliachana na huo usafiri kwa watendaji wake wa chini vijijini mpaka 2025 ilipokuja na toleo jipya