Matokeo ya V yametoka sasa......

Matokeo ya V yametoka sasa......

jamani humu hamna wanabaiolojia?

mayai ya uzazi yanakaa tumboni?
kabanga jump up here.. hiyo ni mimba ya aina gani mpaka sasa inaitwa yai? loh!
hii inashangaza kwa kweli, hata kama nilitoroka kufanya mtihani baolojia lakini hapa miss chagga kaweka changa la macho kwa kweli...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom