Matokeo ya V yametoka sasa......

Matokeo ya V yametoka sasa......

utaweza wewe?? sihitaji kusikia vilio vya yereuwiiiiii!!!

unajua mchezo... mchezo wa basketball unahitaji nguvu nyingi!! lol!

utahema kwa kukimbizwa huku na kule kwa vikumbo!
nitahimili vyote nakwambia tena kwa bidii zote
 
utaweza wewe?? sihitaji kusikia vilio vya yereuwiiiiii!!!

unajua mchezo... mchezo wa basketball unahitaji nguvu nyingi!! lol!

utahema kwa kukimbizwa huku na kule kwa vikumbo!
bye mimi natoka tutaonana keshooooo
 
nitahimili vyote nakwambia tena kwa bidii zote

eeer, unajua, kwenye huu mchezo.... wa basketball, kuna kudribo, kuna kudanki, kuna sijui vikorokoro viiingi!!

sasa chagua ninunue mpira wa aina gani utakaofurahia....!

angalia usiwe wakati wa kudanki na kudribo ukapasuka!! swa eenh!

usalama kwanza..!
 
kwanini kuna nini kilichotokea wakati viongozi tuko
na team haiwezi kufa kabisa wala kuna mkono wa mtu hapa

Mndengereko member wenu anapanga dili la kumnyang'anya mtu mke.
Je hiyo ni moja ya policy?
 
Back
Top Bottom