mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
@mwekundu hii dhana hii labda iko usoni moyoni ndio vile au.....?
hawa ni vuguvugu nadhani unanipata ninachomaanisha
@mwekundu hii dhana hii labda iko usoni moyoni ndio vile au.....?
ahahaaaa yani moyo anausingizia tu ata hauhusiki hapo
sasa kasingizia kwamba mayai ya uzazi yanakaa tumboni!
sasa sijui dushe huwa linasafiri mpaka huko kutafuta mates wake!! lol!
heee! labda mwenzetu anamayai tumboni
jamani humu hamna wanabaiolojia?
mayai ya uzazi yanakaa tumboni?
kabanga jump up here.. hiyo ni mimba ya aina gani mpaka sasa inaitwa yai? loh!
mayai yanakaa tumboni yapo si ndio maana kil amwezi napata period jamani
hapana bwana mlango wangu upo wazi kutoa ilakuingiza ndo hautakihapo hapo kwenye period....!
umekuwa ukilalamika sana ndani ya huu mwezi kwamba mlango wa siku zako umefungwa!
si habari njema hizo?
hapana bwana mlango wangu upo wazi kutoa ilakuingiza ndo hautaki
hahahaaaa!!!!! nimefurahika kwa kweli! happy mamaz day miss chagga!! king excel loves you sooo much!!!!
jibu huku ukiwa umeinamisha kichwa!! ishara ya kumheshimu mfalme! jibu liwe positivEE!!
mayai yanakaa tumboni yapo si ndio maana kil amwezi napata period jamani
Via vya uzazi viko kwenye pelvis (nyonga) ukipata mimba ndo inapanda tumboni.
Cc: miss chagga, Excel.
Via vya uzazi viko kwenye pelvis (nyonga) ukipata mimba ndo inapanda tumboni.
Cc: miss chagga, Excel.
keshajichanganya huyu! mtoto anakua sasa yeye anaita mayai!
mwishowe atasema anaenda kutaga baada ya miezi 9 kudadeki!
nangoja mwanangu!!
naona unaniombea nipate mimba ... mimi sijaopata wakumuingiza mtoto tumboni mwangu
ewaaah!!! naona siku ya wanawake duniani inaniendea vyema kabisa!!
naruhusiwa kuomba nyongeza?? hebu fanya hivyo bana!!
kwa leo inatosha hili tusiongeze bwana... miss maua n sawa tu ila ndahani ni username ya mtu huku