Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
kabisa mkuu 2015 moto utawaka.,
Wakitoboa tuambiane ili tuzidishe furaha huku tuliko
kabisa mkuu 2015 moto utawaka.,
Chezea majambazi aka wazee wa mabwepande dakika 1 wana kuliza wale..oooohhhhCDM hamjiamini ndo maana viroho vinawadunda
Wakitoboa tuambiane ili tuzidishe furaha huku tuliko
Uwiano wa Kura:
ccm 800
CHADEMA 1,300
Tunasubiri matokeo ya vituo 6 tu kukamilisha kazi. CCM wameongoza kwenye vituo vikubwa ndiyo maana hatujaachana kwa kura nyingi sana,
Msalato dodoma.cdm 236, ccm 474.matokeo kamili
CHadema wanashangilia ushindi wa nafac mbili tena kutoka kwao kazikazini aka uchagani. CCM- Halisi na mupya itakuja kukomboa hizo kata na kuwaelimisha vya kutosha Watu wa kazikazini juu ya matapeli ya chadema
CHadema wanashangilia ushindi wa nafac mbili tena kutoka kwao kazikazini aka uchagani. CCM- Halisi na mupya itakuja kukomboa hizo kata na kuwaelimisha vya kutosha Watu wa kazikazini juu ya matapeli ya chadema
Kwisha habari yao lindeni kura za wana rombo...
Mkuu wangu Mzee wa Rula, unataka jamaa atoke vipi?
Nape aka mzee wa bapoda kuna chaguzi za kata 4 zina kuja Arusha uje..Arusha wanajitambua, unataukana watu wa kazikazini halafu unasema utakuja kwaelewesha kuhusu nini au juu ya uwizi na ufisadi wa chama chakoCHadema wanashangilia ushindi wa nafac mbili tena kutoka kwao kazikazini aka uchagani. CCM- Halisi na mupya itakuja kukomboa hizo kata na kuwaelimisha vya kutosha Watu wa kazikazini juu ya matapeli ya chadema
CHadema wanashangilia ushindi wa nafac mbili tena kutoka kwao kazikazini aka uchagani. CCM- Halisi na mupya itakuja kukomboa hizo kata na kuwaelimisha vya kutosha Watu wa kazikazini juu ya matapeli ya chadema
Lazima ccm wakamuliwe mavi..shenzi zao..