ikumbukwe kata nyingi kama si zote zilikuwa chini ya ccm..
Mkuu Crashwise, tujipongeze kwa kata tulizochukua kutoka CCM. Tena tumechukua maeneo mengine muhimu sana kama Sikonge na huko Njombe!
CCM obviously wameloose!
Baada ya uchaguzi huu tutakuwa na tathmini nzuri ya jinsi ya kuipeleka M4C