Advicer
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 542
- 295
mbna matokeo startv wanasema tayari ccm wameshinda kata mbili huko??means wametia maji kwenye petrol?Usukumani CDM imeshindwa kata zote 4 (bugarama-kahama, shinyanga,misungwi na geita) ila nimefarijika maana ushindani ulikuwa mkubwa na Hongo ndo imetumika sana. Sina shaka uandikishaji mpya ukija tunashinda bila jasho kali kama hii na isitoshe kata hizi zote zilikuwa za ccm mwanzo.