Nimeshatangaza ushindi,CHADEMA tuna jumla ya kura 2156,Ccm 1282
Da safi sana, mungu tusaidie ccm wasambaratike mara moja.wametunyonya sana.
Nimeshatangaza ushindi,CHADEMA tuna jumla ya kura 2156,Ccm 1282
Ni matokeo ya CCM Halisi kujikita ngazi ya matawi na mashina tukiong'oa na Mafisadi wa Juu Chadema matabaki na kazikazini kwenu tupo pamoko kati ya viti 29 - Chadem u viti viwili ni ishara tosha ya 2015Mbona kama hali si shwari sana kwa chadema, mpaka sasa ukiacha daraja 2 na Rombo kwingine kote matokeo yanakatisha tamaa, anyway ngoja tuendelee kusubiri
nini hasa wapenzi wa cdm wamikoa isiyo kuwa ya kazikazin wamezidiwa na wachaga wa kazikazini kawani wanashangilia ushindi wa kata mbili za kazikazini wakati chaguzi zimefanyika nchi nzima
nini hasa wapenzi wa cdm wamikoa isiyo kuwa ya kazikazin wamezidiwa na wachaga wa kazikazini kawani wanashangilia ushindi wa kata mbili za kazikazini wakati chaguzi zimefanyika nchi nzima
Mkuu huyo ni Nepi mwenyewe...si bure, umetumwa wewe tena kwa ujira uleule wa kofia, tisheti na skafu ya kijani iliyoandikwa nyinyiemi!!!!!!!!!!!!!!!!
kumbe wewe ni kichaa?
maeneo mengine kama pwani kwakweli...ni aibu coz hawajaelimika...masikini wa kutupwa.. na bado wanachagua CHANZO CHA MATATIZO (CCM) naonea huruma daaa
Kaka mbona hizi ni kejeli kama si matusi,umaskini wao ni kwa sababu wamefanya kitu ambacho hupendi wewe na nafsi yako,ama umaskini wao ni nini,tukifika hapa ndipo mimi huwa napingana na wewe,ni lazima uheshimu pia mawazo na maamuzi ya wengine hata kama huepndi cha msingi ni kuendeleza mapambano ili nao waelewe lakini si matusi ya namna hii.
Ukombozi wa ukweli wa Mtanzania utaletwa na Majemedari kutoka CCM - Halisi na sio Chadema tuungane pamoja katika harakati mupya za ukuombozi wa Taifa letu kutoka mikononi mwa Mafisadi wa CCM na Matapeli/wezi Chadema
![]()
Hivi Mr Emmy nyinyiemi halisi ni hiyo inayopigwa au inayopokea kichapo kutoka kwa mafisadi watoto?
Huko Rombo ni
CCM 400
CHADEMA 767
vituo 11 chadema 9 na ccm 2...