Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Vama vingine vya upinzani ni aibu sana!
SAU unapata kura 500 kati ya 44,000 (yaani 1%) halafu eti unataka kwenda mahakamani kupinga matokeo!
tehe tehe ... very interesting...
Vama vingine vya upinzani ni aibu sana!
SAU unapata kura 500 kati ya 44,000 (yaani 1%) halafu eti unataka kwenda mahakamani kupinga matokeo!
Vama vingine vya upinzani ni aibu sana!
SAU unapata kura 500 kati ya 44,000 (yaani 1%) halafu eti unataka kwenda mahakamani kupinga matokeo!
Matokeo ya Uchaguzi Arusha na Mbeya vijijini ni kithibitisho tosha cha yale niliyokuwa nikisema..Upinzani bila nguvu ya pamoja watashindwa siku zote!..
Mtasema weee na kutumia kila sababu lakini kwa mwenye kusoma alama atagundua kwamba vyama vya Upinzani vimejikanyaga vyenyewe..CCM wamepita kama kumsukuma mlevi vile..
Mkuu ndio demokrasia hiyo
CUF ni chama cha wabishi wasiokuwa na maana yoyote... ndio yale yale kwamba wapinzani wanashindwa kwa kusema uongo.
Kwa percent CCM iliyopata haiwezekani kwamba ati CCM hawakushinda waliotakiwa kushinda ni CUF ati ni kwa kuwa tu wameibiwa kura.
Nziku,
... huwezi kutangaza sera kwa watu ambao wameweka kipaumbele ktk vijembe na mambo ya ZeUtamu mbele ya habari zote..Hawa ndio Wadanganyika unaotaka kuwaongoza mkuu, Wadanganyika ambao ndio waamuzi ktk kura zao na hakika asilimia 80 yao husoma zaidi ZeUtamu, ZeComedy na Kipanya kuliko JF, MwanaHalisi au Daima..
Mbeya by-election: Low turnout explained
Speaking from Mbeya, Tendwa admitted that it was quite possible that the Chadema aspirant`s disqualification adversely affected the turnout.
However, he added that Chadema`s own mobilisation campaign code-named Operation Sangara had undermined the by-election ``precisely in that its thrust was on sensitising people not to vote after its own aspirant was disqualified``.
``When we got here many Mbeya residents could be heard openly saying some Chadema officials had told them not to vote. The NEC intervened by saying it was completely against this but it is evident that the harm had already been done, and hence the low turnout,`` he explained.
Abere Amon, a resident of Chapakazi at Mbalizi in Mbeya, said Chadema aspirant Sambwee Shitambala`s disqualification left many people ``utterly disappointed``.
Contacted for comment, returning officer Juliana Malange admitted that the turnout was ``astonishingly low`` but noted that she did not know why it was so. ``It is true that very few people came to vote but I cannot explain why. I will have to investigate,`` she said.
SOURCE: Guardian
Mgombea wa CUF amayakubali makubali matokeo na kusaini fomu lakini inaonekana anawahohia viongozi wake hivyo kutokuwa tayari msimamo wake kuandikwa kwenye vyombo vya jabari.
Wakati anahojiwa na waandishi wa habari jana, Mgombea huyo- Mponzi alisema yeye haoni sababu ya kuendelea na malumbano hadi mahakamani kupinga matokeo, alikubali kushindwa lakini alipoulizwa iwapo maelezo hayo ni msimamo wake rasmi aliruka na kusema anasubiri viongozi wake watoe msimamo.
Mkuu wangu soma vizuri maelezo yako mwenyewe utaona kwamba tatizo sio chama isipokuwa ni WATU..Je, ni wakati gani tunaweza kuamini watu ama viongozi wetu ktk chama chochote kile kitakachoweza kuundwa ili kifikie kuwa mbadala!..Ikiwa leo hii wewe na mimi hapa tunashindwa kuwaamini kina Dr. Slaa, au Lipumba na wao kati yao wanashindwa kuaminiana iweje iwe rahisi kusimamisha chama mbadala... kumbuka maneno ya FMES kuwa viongozi wetu ni reflection yetu!..sisi wote tunapendana Kichina tu tusidanganyane hapa...Unless kama tunaweza kuviua kabisa vyama hivi vyote yaani Chadema kife, CUF ife, TLP ife na kisha kipatikane chama kingine ambacho sijui kitakuja na sera au hoja zipi tofauti na vyama hivi vilivyotangulia.Ninachokipinga mimi ni CUF, Chadema,TLP,UDP,NCCR-Mageuzi, DP nk kuungana. Hii ni kujidanganya! pia ni kuweka rehani nchi yetu. Mkuu wangu, kweli unawajua vizuri hawa jamaa? mimi ninaamini kabisa kuwa ume-base kwenye dhana zaidi kuliko uhalisia. Kwangu mimi dhana ya kuwa na chama mbadala ina-sound kuliko hivi vyama kuungana.
Hapa nadhani tuongelee tatizo la viongozi wa vyama vya upinzani kwamba ni wabinafsi mno, wengi wamehamia huko na matatizo yao toka CCM, huwezi kuwabadili leo hii. Ili kupata mabadiliko ya kweli ni wakati muafaka kwa kizazi kuchukua nafasi badala ya kuwazungumzia kina Lipumba, Seif, Mrema n.k hawa wamechoka, wanachumia tumbo tu.
Katika Kata ya Mkundi, mgombea wa CCM, Nilinga Shaweje, alishinda kwa kura 1,154 na kuwabwaga wapinzani wake wa CUF, Maundo Omari aliyepata kura 1,098 na Rashidi Matumla wa Chadema aliyeambulia kura 127.
Bandiko lako lote linakosa maana kwa kuendelea kumuunga mkono mtu ambae amejaribu kupindisha taratibu na kanuni za uchaguzi. Iwapo jamii inakusudia kuwa na mabadiliko kwa faida yao, watu dizaini ya Shitambala hawana nafasi na hawafai katika mabadiliko. Na hao Wanambeya vijijini watakuwa ni vipofu na mabwege sana iwapo watamchagua Kihiyo Shitambala hapo 2010.Na CUF nao nadhani watakuwa wamejifunza huko Mbeya Vijijini kuwa Shitambala alipaswa kuungwa mkono, na si kuwekewa pingamizi. Itakuwa ajabu CUF wakimsimamisha Mponzi tena 2010 huko Mbeya