mkomavu buzi
Member
- Apr 11, 2011
- 76
- 14
Zitto,
Sidhani kama ni busara kwa wewe kulitolea ufafanuzi suala hili.
Tumeona tangu kule kwenye twitter....unaonekana umekuwa mstari wa mbele sana kutoa taarifa za "ushindwi" wa chadema. Zaidi ya wewe hatujaona kiongozi mwingine yeyote wa chadema aliyezungumzia hilo. Je umetumwa na chama au ni msukumo wako binafsi?
Nadhani ni vema kuiachia tume ifanye kazi yake badala ya wewe kuzunguka kila kona kueleza eti tumeshindwa.
Nakubaliana na ww kwa kiongozi kama yeye kukimbilia haraka haraka kukubali kushindwa wakati NEC bado wajatangaza mshindi. sio aina ya uongozi mzuri