Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,025
Mpwa twende taratibu, huyu Zitto ila kuna magamba fulani wametengeneza ID kama yake, Zitto hawezi kukurupuka kama Nape asubuhi asubuhi, tulia kwanza usimhukumu mtu, sawa Mpwa
Nilishawahi kupata habari zilizokuwa zikiashiria kuwa pamoja na kuwa miongoni mwetu lakini wewe si mpinzani wa kweli..sitasema sababu hizo kwa sasa..kinachonishangaza ni wewe kufanya kazi kama aliyokuwa anafanya NAPE ya kugeuka tume ya uchaguzi na kutangaza matokeo..Nalazimika kushindwa kuendelea kukuamini kabisa,Je umeaarifiwa na kamati ya chama kulitangaza hili? Matokeo yameshatangazwa kwenu viongozi wote wa chadema?na Je kama ni wewe tu ndio umeamua kusema kile ulichokipata kwa mawakala hauoni kama unasaliti chama kwa kutokuwa na subira na kusubiri pale mtakapotoa tamko rasmi?na mbona ni wewe tu ndiyo unayeongea haya?