sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
jambo leo ccm-imkuu naomba nikusaidie mpangilio
magamba ccm - a
cuf ccm - b
nec ccm - c
uwt ccm - d
bakwata ccm - e
clouds ccm - f
polisi ccm - g
habari leo/tbc ccm - h
jambo leo ccm-imkuu naomba nikusaidie mpangilio
magamba ccm - a
cuf ccm - b
nec ccm - c
uwt ccm - d
bakwata ccm - e
clouds ccm - f
polisi ccm - g
habari leo/tbc ccm - h
MKUU NAOMBA NIKUSAIDIE MPANGILIO
Magamba CCM - A
CUF CCM - B
NEC CCM - C
UWT CCM - D
BAKWATA CCM - E
CLOUDS CCM - F
POLISI CCM - G
HABARI LEO/TBC CCM - H
Umetabiri mara nyingi sana hiki kifo lakini hakitokei, nadhani kilichobaki ni wewe kutangulia. Sheikh yahya aliwatabiria wenzake lakini chake hakujua.
huyo siyo Zitto ni wanamagamba wanatumia jina lake kwa manufaa yaoMbaya zaidi mtu anayejiita Zitto anasema chadema ilipata matokeo mabaya zaidi Kata ya Igunga mjini, wakati si kweli
Nimeshawapa pole mpaka nimechoka...tatizo lenu hamkubali hali halisi.Sasa wewe badala ya kutupa pole unatuzomea?
Takukuru CCM-Jjambo leo ccm-i
yule sio zitto
Mimi nilijua tu huyu si Zitto hata kwenye wall page yake walimwingilia kama walivyofanya kwa Nape, Zitto ninayemjua huwa hana tabia ya kujibu kila next post sasa huyu kajidai kujibu the next post.yule sio zitto
Ukweli ccm watakuwa wameshindwa ila wanachofanya hapa ni kusubiri ifike usiku then Msimamizi atangaze kwa matakwa ya JK then alale mbeleCCM wangekuwa wameshinda sidhani kama wangechelewa kutangaza..nachokiona ni wanajaribu kujitangazia ushindi ili sehemu kubwa ya raia wakikubali muda ukifika wanasema tumeshinda..hata mimi naamini Zitto feki ni njia yao mojawapo wanayoitumia
MKUU NAOMBA NIKUSAIDIE MPANGILIO
Magamba CCM - A
CUF CCM - B
NEC CCM - C
UWT CCM - D
BAKWATA CCM - E
CLOUDS CCM - F
POLISI CCM - G
HABARI LEO/TBC CCM - H[/
Umesahau TISS.
Bakwata wanabaka demokrasia.
MKUU NAOMBA NIKUSAIDIE MPANGILIO
Magamba CCM - A
CUF CCM - B
NEC CCM - C
UWT CCM - D
BAKWATA CCM - E
CLOUDS CCM - F
POLISI CCM - G
HABARI LEO/TBC CCM - H[/
Umesahau TISS.
Hivi hawa TISS sio ndio UWT (Usalama wa Taifa) or am missing a point?