Matokeo ya Uchaguzi Igunga: Radio One

Matokeo ya Uchaguzi Igunga: Radio One

Status
Not open for further replies.
Cuf wao wamesha tangazwa kushindwa vibaya.
 
Mkuu, kama issue ni kununuliwa kwa shahada, kwa nini kwenda mahakamani kwa issues nyingine? Kwa maelezo yako, hatukushindwa (kama kweli) kwa mawaziri kutoa ahadi za serikali, ni kwasababu ya wizi wa shahada kwa kuzinunua.

Ndugu zangu, tuwe wakweli tu, tumepoteza Igunga. Tumepoteza kwa sababu moja kubwa- shahada za wapiga zimenunuliwa sana. Kata zote ambazo chadema imeshunda, turn out ilikuwa kubwa. Kata zote ambazo ccm imeshinda turn out ni ndogo sana sana. Hii tabia ya kununua shahada inayofanywa na ccm inaharibu kabisa maana ya uchaguzi. Kuna haja kufikiria kama itabidi tuwe na compulsory voting.
Toka jana usiku saa tano sisi tulishahitimisha kuwa kwa figures za matokeo toka vituoni hatuwezi kutangazwa washindi.
Ni muhimu kwenda mahakamani ili mahakama iweze kuamua masuala fulani fulani kwa mfano Mawaziri kushiriki katika kampeni na kutoa ahadi za kiserikali. Pili, tume kukataza watu ambao majina yao yamo kwenye daftari lakini hawana shahada, kupiga kura.
Suala la Kafumu kukataa kusaini, nadhani tuache masuala haya ambayo ndani ya dakika chache yatagundulika ni uwongo. Toka tunahesabu mpaka tunamaliza hatukuona 'margin' kubwa. Kata ya Igunga mjini ndio imechangia sana matokeo mabaya.
Bitter but truth
 
Ndugu zangu, tuwe wakweli tu, tumepoteza Igunga. Tumepoteza kwa sababu moja kubwa- shahada za wapiga zimenunuliwa sana. Kata zote ambazo chadema imeshunda, turn out ilikuwa kubwa. Kata zote ambazo ccm imeshinda turn out ni ndogo sana sana. Hii tabia ya kununua shahada inayofanywa na ccm inaharibu kabisa maana ya uchaguzi. Kuna haja kufikiria kama itabidi tuwe na compulsory voting.
Toka jana usiku saa tano sisi tulishahitimisha kuwa kwa figures za matokeo toka vituoni hatuwezi kutangazwa washindi.
Ni muhimu kwenda mahakamani ili mahakama iweze kuamua masuala fulani fulani kwa mfano Mawaziri kushiriki katika kampeni na kutoa ahadi za kiserikali. Pili, tume kukataza watu ambao majina yao yamo kwenye daftari lakini hawana shahada, kupiga kura.
Suala la Kafumu kukataa kusaini, nadhani tuache masuala haya ambayo ndani ya dakika chache yatagundulika ni uwongo. Toka tunahesabu mpaka tunamaliza hatukuona 'margin' kubwa. Kata ya Igunga mjini ndio imechangia sana matokeo mabaya.
Bitter but truth

Asante sana mkuu kwa taarifa hii! Huu ndio ukomavu wa kisiasa! Big up! Ngoja sasa tujipange upya kwa chaguzi zijazo ila kibano wamekiona! Ila kama tuna ushahidi wa kutosha wa watu waliouza au kununua shahada kwa nini tusisimame kidete kuwashughulikia hata kwa mahakamani tu? Maana wataendelea kuiba na kununua hizi shahada mpaka lini hawa majangili wa kijani!!!!???
 
chama cha magamba acu

wewe una matokeo tofauti check hapo watu wanafurahia matokeo

ig3.jpg
 
Mods kwanini watu mnawaacha wafnye kama wanavyotaka? mnakuwa kama sio great thinker bwana
 
Zitto Kabwe naye amekiri kushindwa!

ndugu usiwe mtu wa kuamini ovyo,unakumbuka Nape alichoandika kwenye wall yake ya fb na leo alivyoruka kimanga?so tuwe carefully na habari tunazoandika
 
Ndugu zangu, tuwe wakweli tu, tumepoteza Igunga. Tumepoteza kwa sababu moja kubwa- shahada za wapiga zimenunuliwa sana. Kata zote ambazo chadema imeshunda, turn out ilikuwa kubwa. Kata zote ambazo ccm imeshinda turn out ni ndogo sana sana. Hii tabia ya kununua shahada inayofanywa na ccm inaharibu kabisa maana ya uchaguzi. Kuna haja kufikiria kama itabidi tuwe na compulsory voting.
Toka jana usiku saa tano sisi tulishahitimisha kuwa kwa figures za matokeo toka vituoni hatuwezi kutangazwa washindi.
Ni muhimu kwenda mahakamani ili mahakama iweze kuamua masuala fulani fulani kwa mfano Mawaziri kushiriki katika kampeni na kutoa ahadi za kiserikali. Pili, tume kukataza watu ambao majina yao yamo kwenye daftari lakini hawana shahada, kupiga kura.
Suala la Kafumu kukataa kusaini, nadhani tuache masuala haya ambayo ndani ya dakika chache yatagundulika ni uwongo. Toka tunahesabu mpaka tunamaliza hatukuona 'margin' kubwa. Kata ya Igunga mjini ndio imechangia sana matokeo mabaya.
Bitter but truth

Zitto,
Sidhani kama ni busara kwa wewe kulitolea ufafanuzi suala hili.
Tumeona tangu kule kwenye twitter....unaonekana umekuwa mstari wa mbele sana kutoa taarifa za "ushindwi" wa chadema. Zaidi ya wewe hatujaona kiongozi mwingine yeyote wa chadema aliyezungumzia hilo. Je umetumwa na chama au ni msukumo wako binafsi?
Nadhani ni vema kuiachia tume ifanye kazi yake badala ya wewe kuzunguka kila kona kueleza eti tumeshindwa.
 
Ndugu zangu, tuwe wakweli tu, tumepoteza Igunga. Tumepoteza kwa sababu moja kubwa- shahada za wapiga zimenunuliwa sana. Kata zote ambazo chadema imeshunda, turn out ilikuwa kubwa. Kata zote ambazo ccm imeshinda turn out ni ndogo sana sana. Hii tabia ya kununua shahada inayofanywa na ccm inaharibu kabisa maana ya uchaguzi. Kuna haja kufikiria kama itabidi tuwe na compulsory voting.
Toka jana usiku saa tano sisi tulishahitimisha kuwa kwa figures za matokeo toka vituoni hatuwezi kutangazwa washindi.
Ni muhimu kwenda mahakamani ili mahakama iweze kuamua masuala fulani fulani kwa mfano Mawaziri kushiriki katika kampeni na kutoa ahadi za kiserikali. Pili, tume kukataza watu ambao majina yao yamo kwenye daftari lakini hawana shahada, kupiga kura.
Suala la Kafumu kukataa kusaini, nadhani tuache masuala haya ambayo ndani ya dakika chache yatagundulika ni uwongo. Toka tunahesabu mpaka tunamaliza hatukuona 'margin' kubwa. Kata ya Igunga mjini ndio imechangia sana matokeo mabaya.
Bitter but truth
Asante kwa kutuondolea utata....wajameni sasa tugange mengine!
 
Mkuu, kama issue ni kununuliwa kwa shahada, kwa nini kwenda mahakamani kwa issues nyingine? Kwa maelezo yako, hatukushindwa (kama kweli) kwa mawaziri kutoa ahadi za serikali, ni kwasababu ya wizi wa shahada kwa kuzinunua.
Upo sahihi kabisa. Suala la shahada ni lazima lionekane katika kesi. Hili ni tatizo kubwa sana. Baada ya muda mkt wa chama Taifa atatoa statement ya chama na mambo haya yatawekwa wazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom