Matokeo ya NACTE yametoka?





usikasirike kwani siku imeishaaaaaa???????a!!!!
给你天下事
 
Nacte u are letting down students and their parents; we were expecting the results to be out today but it's so much surprised that till this moment we hear nothing from you, we are disappointed with this cennaria of being Quite
 
Kwa taarifa nilizo nazo majibu hayatangazi na nacte mwaka huu. Ni vyuo husika ndio vitakavyosema nani kachaguliwa wapi. Kwa elimu vyuo vya serikali ni wizara ndio itakayo toa tamko vivyo hivyo na afya pia. Kazi ya nacte ni kutoa ratiba na kuacha wahusika waitekeleze.
 

Kwa taarifa nilizo nazo majibu hayatangazi na nacte mwaka huu. Ni vyuo husika ndio vitakavyosema nani kachaguliwa wapi. Kwa elimu vyuo vya serikali ni wizara ndio itakayo toa tamko vivyo hivyo na afya pia. Kazi ya nacte ni kutoa ratiba na kuacha wahusika waitekeleze.
 
Sure bro, hali ni tete bora watoe mapema
 
Jamani naona tarehe deadline waloipanga nacte ishaenda, vipi kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu majina ya walioaply vyuo vya kilimo? Msaada tafadhali
 
I think hatuko hapa kwaajil ya utani kuna forum za utani na vichekesho kama unataka kuchekesha i mean ongeeni ukweli na sio kushtua watu et kitu kimetoka wakati bado
 
Me mwenyewe nimeapply mkuu... tena kitambo sana toka mwez May ila hadi leo naona kimya. Deadline yao ilikuwa Aug 8 sasa nashangaa mwezi 1 na nusu bado hawatoi selection..!!!
 
Ikifika saa tano bado hawajatoa. Nawaibukia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…