Kitambi ni uzembe , kitambi sio sifa nzuri , ni ishara ya ulafi na uzembe wa hali juu mno, juu ya afya yako mwenyewe, bora ukose hata mia ila usiwe na kitambi tu .
Sasa imefika hatua mtu ananenepa mpaka mapaja , unakuta akisimama mapaja yanashikana
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko
Baby wangu anasema anakienda watu wengine kinawahusu nini?Wanakwambia Kitambi hakiumi, hakiwashi, kinabebeka wanakimudu 😂
Mbaya ni ugonjwa Mbaya kuliko ukimwi bwashee
Mkeo ndio anachokipenda akija kuchepuka huku anakikalia kwa juu na kukatika anakatika km hana akili nzuriUnanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko
Kufuga tumbo ni kukosa akil.Kwa shida mno ila kwa sababu yeye kazoe anaona kawaida tu
Bwashee kuna picha inasomo kubwa sna imefutwa
Nahema hivyo hivyo kwani wewe inakuhusu nini? ChefuHuwa nsjiuliza mtu mwenye jitumbo anahemaje...huwa ina ni frustrate sana nikishiba..nahema kwa shida.