Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,624
- 19,923
We jamaa acha matusi.Wanasemaga hujafa hujaumbika
Ni matesoSidhani 😄
Sijui aisee! Mtu ana kitambi hadi akitaka kuangalia dushelele lake anatumia kioo.Haya majinga sijui yanajiamini nini na hayo matumbo chura yao🤔
Unajua maana ya " obesity"Kumbe kula kama nguruwe na kufuga tumbo ni kuumbika bwashee? Matusi hapo hakuna
Daktari umekasirika sasa umeamua utuchane liveKitambi ni uzembe , kitambi sio sifa nzuri , ni ishara ya ulafi na uzembe wa hali juu mno, juu ya afya yako mwenyewe, bora ukose hata mia ila usiwe na kitambi tu .
Sasa imefika hatua jitu linanenepa mpaka mapaja , unakuta likisimama mapaja yanashikana na matege yake kama jinga flani hivi , na masuruali yake kama ngoswe yanazama kwenye mapupu , kisa tu uwepo wa nyama zembe.
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko kilaza wewe
Angalia jinsi hilo wese linavyo meza hiko kichululu chako kiazi wewe 👇View attachment 3671245
Itabidi nizidi kufanya mazoezi, siko tayari kushudia dushe langu likizama tumboni aisee!Dushe inafukiwa na wese kabisa , pia mafuta tumboni hauwezi kuwa na pumzi ya kutosha
Sahihi kabisa anatesekaMtu mwenye kitambi hawezi kuhema kama binadamu wa kawaida, pumua yake ni ya shida mno
Zamani tulikuwa tunajua Kitambi ni Afya kumbe ni Ugonjwa.Kitambi ni uzembe , kitambi sio sifa nzuri , ni ishara ya ulafi na uzembe wa hali juu mno, juu ya afya yako mwenyewe, bora ukose hata mia ila usiwe na kitambi tu .
Sasa imefika hatua jitu linanenepa mpaka mapaja , unakuta likisimama mapaja yanashikana na matege yake kama jinga flani hivi , na masuruali yake kama ngoswe yanazama kwenye mapupu , kisa tu uwepo wa nyama zembe.
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko kilaza wewe
Angalia jinsi hilo wese linavyo meza hiko kichululu chako kiazi wewe 👇View attachment 3671245
Asante kwakutukumbusha kutunza afya zetu. Ubaya ukishafuga kitambi kukitoa nishughuli pevu lazima ujikaneWala sijakarika ni njia yangu yakufikisha ujumbe bwashee