secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 22,351
- 46,626
Chuma kimerudi kwa hewa, taabu iko pale pale.secretarybird chuma lipo Live asee
Chuma kimerudi kwa hewa, taabu iko pale pale.secretarybird chuma lipo Live asee
Wee mtu umenichekesha sana..Miaka ya 80 kipindi tunakua jamii ilikuwa na watu wembamba na wakati, Ila sku hz ni mipipa tuu
Nimecheka sana kama mazuri😃😄😁😂🤣Kitambi ni uzembe , kitambi sio sifa nzuri , ni ishara ya ulafi na uzembe wa hali juu mno, juu ya afya yako mwenyewe, bora ukose hata mia ila usiwe na kitambi tu .
Sasa imefika hatua mtu ananenepa mpaka mapaja , unakuta akisimama mapaja yanashikana
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko?
Ukipigwa ngumi jiandae kukinga 😂Mwili mkubwa ni tofauti na kitambi. Unamjua LeBron James? Mwili nyumba lakini hana kitambi. Kuna watu wana vimwili vidogo ila kitambi kama papai!
Dua la kuku halimpati mwewe😂Wamepunguza ut
Watu wa kitambi mfe kabisa
Ndio shemeji vimbau mbau wana raha.Kimbo mbali mwiko wa pilau😆😆
Kiaina ni ngumu ila unaweza. Mwili mkubwa ukizubaa kidogo unafutuka irreversibleUkipigwa ngumi jiandae kukinga 😂
Nilikuwa nafikiri ukiwa na mwili mkubwa ni ngumu kucontroll kitambi.
Amini ya kuwaWee mtu umenichekesha sana..
Mshua mbn umeweka ??? Ni kweli junk food nazo ni changamoto bila kuwasahau wafukiaji kama caterpillars nao ni changamotoWewe umekua miaka ya 80? Enzi zile njaa ilikuwa kali! Ugali wa njano tena lwa foleni. Sasa hivi misosi ya kumwaga ma junk food kibao mara Edson chips sijui nani biriani mara KFC yaani mitakataka kila angle
Nani kakuambia Supu na Mchemsho unaleta Kitambi?Kitumbo mfuko , piga tizi punguza local bia na supu za mchemsho bwashee