min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,803
- 169,564
Kitambi ni uzembe , kitambi sio sifa nzuri , ni ishara ya ulafi na uzembe wa hali juu mno, juu ya afya yako mwenyewe, bora ukose hata mia ila usiwe na kitambi tu .
Sasa imefika hatua mtu ananenepa mpaka mapaja , unakuta akisimama mapaja yanashikana
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko?
Sasa imefika hatua mtu ananenepa mpaka mapaja , unakuta akisimama mapaja yanashikana
Unanenepa vipi mpaka unakua na shingo kama ya tembo na mashavu kama kiboko?