secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 22,351
- 46,614
Nitakuwa napiga tizi na wife, sitaki kuwa na mke mnene kama kiboko.Piga tizi kwa wivu mkubwa bwashee
Nitakuwa napiga tizi na wife, sitaki kuwa na mke mnene kama kiboko.Piga tizi kwa wivu mkubwa bwashee
Kumbe ulishawahi kulibebe fuko hili bwashee! 😂Nilishawahi miliki hilo fuko la mapupu ,hivyo najua shida zake
Usimpe kichwa wife wangu mkuu, yumo humu ujue!Kwa wanawake siwezi sema kwa sababu hata uzazi kwao ni changamoto hii inapoanzia ila kwa mwanaume ni uzembe wa hali ya juu mno
Sana!Kiasi chake bwashee hilo ni fuko la mapupu , ukilikata nikama umetoka jela
Nikimuona anatumbo kubwa namuuliza kama ana mimba, kama hana nitakuwa namejua ni fuko la mapupu, na hapo ndipo nitaanza kumuamsha alfajiri na kuanza kukimbizana naye kwa road.Hapana mkuu , hao wana excuse
Haya majitu manono yakifanya mazoezi , wagonjwa watapungua sana mahospitalini😅Nikimuona anatumbo kubwa namuuliza kama ana mimba, kama hana nitakuwa namejua ni fuko la mapupu, na hapo ndipo nitaanza kumuamsha alfajiri na kuanza kukimbizana naye kwa road.
Namshukuru mungu Seran wangu ni kapotabo tu! 😘Haya majitu manono yakifanya mazoezi , wagonjwa watapungua sana mahospitalini😅
Kwahiyo hunitaki🥲Usimpe kichwa wife wangu mkuu, yumo humu ujue!
Comment yako sijasoma ila umenena vyema kabisaHuu uzi sijaisoma ila cha kuzingatia zaidi ni kuweka mfumo mzuri wa maisha(ni special spirit we get from the natural strength)mazoezi,kula kwa mzingatio wa afya yako,kushughulisha ubongo na mwili,starehe pamoja na vingine vyenye asili kama vile kukimbia n.k.
Hakuna mtu mwenye kasoro
(KITAMBI NI UGONJWA)si utamu wa mtu.
Bwashee leo wife wangu atakuona kama shujaa wake 🤣Wanawake wana excuse ya uzazi bwashee, ila pia wapige tuzi
Nakutaka mbona!Kwahiyo hunitaki🥲
Bwashee natoka zangu gym saivi.Dada ananipikia ugali wa mwogo,dagaa la mama shukuru na kachumbari isiyo na ndimu wala limao,Karibu…..Comment yako sijasoma ila umenena vyema kabisa