SEAL Team 6
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 655
- 118
Siyo kosa lake isipokuwa anasumbuliwa na utapia mlo, anajipendekeza kwa Kinepinepi ili apate per diem.
yani kuna watu wengine vichwa vyao vimejaa maharage tena huyu aliyetupia hii thread.
yani kuna watu wengine vichwa vyao vimejaa maharage tena huyu aliyetupia hii thread.
Ruzuku ya CDM yote imeishia IGUNGAmimi nadhani CCM ndio walioumia zaidi considering namna walivyobana na CDM chama ambacho 2010 hakikuwa na mgombea IGUNGA
Pamoja na tambo, kelele, uongo mwingi wa wilbroad slaa na baadhi ya wanachama wa kampuni ya chadema leo wameangukia pua huko igunga baada ya wana igunga zaid ya elfu 26 dhidi ya 22 mapipo'z kukishindisho ccm kw ushndi wa kimbunga...chakushangaza ni kwamba wale wachaga wacheche wanaojifanya cdm ni yao walikuwepo wote igunga pamoja na wale vibaraka wanaotumiwa na wachaga hao walikuwepo huko na wote kuambulia patupu...mfano wa vibaraka hao ni Tindu lisu, kabwe zito, wenje, hawa wamekula unga wa ndere...al in
Sasa wana JF naamini wataendelea kuanzisha thread na michango ambayo constructive baada ya joto la Igunga kwisha baada ya CCM kuimwaga CDM na vyama vingine vilivyoshiriki katika mchuano huo. Mengi yalisemwa ikiwamo CDM kushinda kwa 74% lakini kura zimeamua. Tunashukuru uchaguzi umefanyika kwa amani. Sasa Dk. atekeleze sera alizokuwa akinadi. Mimi si NEC lakini ukweli u wazi kwamba shughuli imekamilika.
Inawezekana wewe uliyeleta hii fu**** thread una wenda wazimu unakusumbua ******** wewe
Wadau hamkosi sababu? asiyekubali kushindwa simshindani.Kamura hujatenda haki, umewasahau wengine wanao stahili hizo pongezi zako nao ni:- BAKWATA, TISS, POLISI, SHURA YA MAIMAMU,NEC, NA DC WA IGUNGA.
Siwashangai kwa nini wanatukana kwa sababu matusi ndio sera zao na aina ya siasa waliyoichagua vijana wa Slaa. Hawajengi hoja kila wanachosema lazima kiambatane na neno FISADI na matusi. Halafu wahuni wa aina hii ndio wanaotaka kupewa dhamana ya kuongoza Tanzania.Slaa alishasema kuwa vijana wake wanalinda kura zisiibiwe sasa huo wizi umetoka wapi. Sisi CCM tunasubiri matokeo na kama tumeshindwa ni sawa tu lakini hatutarusha matusi kama hawa vijana wa Slaa humu JF.
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
mmeiba kura ..na mngeshindwa usingeleta pua yako hapa