kwan mwenye mamlaka ya kutoa matoke ni nape au nec? Ndo maaana @mwana ccm ana matokeo yake! So yalshapangwa kuwa hyo!
Na hayo mabox ya kura feki yalyokamatwa yanatafta nn? Je n mangapi yameptshwa bla kuonwa? Tumewachoka ccm na wizi wa lazma!!
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Huyu nepi ni rafiki yangu facebuk na ni yeye mwenyewe ameandika kwenye wall yake. Wenye akaunti facebook wa search nape nnauye wataona matokeo kwenye wall yake.
Mahesabu yalimgonga pale alipotoa matokeo ya Kata moja mara mbili. Nadhani alichakachua vibaya hadi member wa JF alipohoji iweje Kata ya Mbutu itokee mara mbili na idadi ya kura iwe tofauti?
kapataje hayo matokeo wakati walisema bado au ndo mchakachuo tayari!
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini