Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
ameshaifuta hayseHuyu nepi ni rafiki yangu facebuk na ni yeye mwenyewe ameandika kwenye wall yake. Wenye akaunti facebook wa search nape nnauye wataona matokeo kwenye wall yake.
ameshaifuta hayseHuyu nepi ni rafiki yangu facebuk na ni yeye mwenyewe ameandika kwenye wall yake. Wenye akaunti facebook wa search nape nnauye wataona matokeo kwenye wall yake.
nape unakurupuka aupo makini na kichwa chako kilvyokikubwa uwezo wa kufkiri ni kama wa mtoto wa 4yr.ukiwa unapost kwenye mtandao kuwa makini shrikisha ubongo na macho si unatumia MASABURI tuuu.uhu ndio wizi wenu mtandao umekuumbuaNape Nnauye
Matokeo Igunga.
Na haya ni kata
Mbutu. CCM 1186. CHADEMA 1426Mbutu CCM 1335 CHADEMA 1427
what a poor comment from ana icon leader of ccm!!..there is a problem somewhere...look very bro!
mimi nadhani CCM ndio walioumia zaidi considering namna walivyobana na CDM chama ambacho 2010 hakikuwa na mgombea IGUNGA
mimi nadhani CCM ndio walioumia zaidi considering namna walivyobana na CDM chama ambacho 2010 hakikuwa na mgombea IGUNGA