Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Regia Estelatus Mtema Hongera wanaCCM,Hongera Mwigulu! 3 minutes ago · 1 · Like · 4 Comments
kila lugha ina mazingira yake halafu dawa ya moto ni moto huwezi kutoa lugha ya kistaarabu kwa mtu anayetoa lugha za kihuni mi kwanza naona hakuna ubaya wowote kwa kauli hiyo ya nape!
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Hata Magamba wenzako wanajua hakuna ushindi rahisi bila kuchakachua.. WaTZ wa sasa wanaelewa kuwa chama tawala kimekosa mvuto. Na kwa taarifa yako wengi wamebeba kadi za Magamba ila kwn boksi la kura wanapigia upinzani. Wanaamini magamba na uongozi wake watabadilika lakini wapi! Ni sikio la kufa.Na wakiendelea na mtindo huu kwa miaka 20 ijayo yanayotoke Syria,Yemen,Libya,Misri yatatokea hapa kwetuSlaa alishasema kuwa vijana wake wanalinda kura zisiibiwe sasa huo wizi umetoka wapi. Sisi CCM tunasubiri matokeo na kama tumeshindwa ni sawa tu lakini hatutarusha matusi kama hawa vijana wa Slaa humu JF.
:yield::smile-big:Pamoja na tambo, kelele, uongo mwingi wa wilbroad slaa na baadhi ya wanachama wa kampuni ya chadema leo wameangukia pua huko igunga baada ya wana igunga zaid ya elfu 26 dhidi ya 22 mapipo'z kukishindisho ccm kw ushndi wa kimbunga...chakushangaza ni kwamba wale wachaga wacheche wanaojifanya cdm ni yao walikuwepo wote igunga pamoja na wale vibaraka wanaotumiwa na wachaga hao walikuwepo huko na wote kuambulia patupu...mfano wa vibaraka hao ni Tindu lisu, kabwe zito, wenje, hawa wamekula unga wa ndere...al in
Bora yeye ameyakubali matokeo.Regia Estelatus Mtema Hongera wanaCCM,Hongera Mwigulu! 3 minutes ago · 1 · Like · 4 Comments
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
magwandwa nomaaaaa kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? Kati ya kata 22 mmeambulia 3 ccm ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Nape Nnauye
Matokeo Igunga.(Jumla kuu ni CCM 26266. CHADEMA 22443)
Na haya ni kata kwa kata...
Mboto CCM 730- CHADEMA 302
Nguvu moja CCM 694 CHADEMA 284
Nkinga CCM1479. CHADEMA 1085
Itumba CCM1079 CHADEMA 590
Nanga. CCM 897. CHADEMA 645
Igurubi CCM 925 CHADEMA 592
Mwisi CCM 926. CHADEMA 992
Mbutu. CCM 1186. CHADEMA 1426
Kinungu. CCM 505 CHADEMA 268
Ngulu CCM 622 CHADEMA 412
Igunga CCM 3181 CHADEMA 3358
Choma CCM 1227 CHADEMA 918
Kining. CCM 700 CHADEMA 451
Mwashiku. CCM 798 CHADEMA 484
Nsimbo CCM 738 CHADEMA 1016
Itunduru CCM 738 CHADEMA 784
Mwamashimba CCM 1224 CHADEMA 1421
Mbutu CCM 1335 CHADEMA 1427
Bukoko CCM 1136 Chadema 931
Nyandekwa CCM 691 Chadema 631
Ndembezi CCM 866 Chadema 806
Chabutwa CCM 545 Chadema 581
Ziba CCM 1053 Chadema 860
Igoweko CCM 1051 Chadema 880
Sungwizi CCM 1225 Chadema 718
Isakamaliwa CCM 525 Chadema 593
OHOOO PEOPLES POWER TENA KWISHNEI!!!!
*******************
Nape kafuta hii status kwenye wall yake kisha kakana kuandika chochote kwenye mtandao
I hope unaona statistics! otherwise, tutakapobadili katiba wapaga kura wenye akili tutakuwa wachache, oneni aibu kidogo kwa kuchaguliwa na tabaka la wasiojua kitu na ambao kila siku wanaomba misaada kwenye media ati serikali iwasaidie, wakati uwezo wa kutenda wanao! Mwisho ndo umefika kaka, wapiga kura wenye kuelewa wataamua pale katibampya itakapokuwa in action! Hebu kitu kimoja uweke wazi unambie, mlitumia funds za chama kweli hapo, make hamna hata audit huko, pia za serikali walizozitumia tunataka ziwe audited!MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini