Wenzako wana toboa kwenye hii fani kwa sababu iko kwenye Damu!! tangu mababu zao, nyie mnatamani tu ajira ndo mna hangaika hivi ....cha kushangaza nini hapo?
Tatizo hujui kuna ushirikiano mkubwa hapo kati ya Medicine ya kisasa na jadi? mpaka kesho? yaani kati ya mtumia ungo na tiba za kisasa? siyo siri Nili bebwa kabisaa kutoka kilingeni kwa bibi nikosomee!!
tena kwa lazima nikasomee hiyo fani na walio nichuka mie ni madaktari babu kubwa mpaka leo! ambao hawa waliku wa field so walikuja kwa bibi for emergency kutafuta dawa ya kuwasaidia wodi ya wazazi!
Ndo maana ya Emergency Caravan za Ikulu kamwe Daktari huchukuliwi hovyo km siyo MD, au Co mwenye asili ya ulozi, km ikitokea ivo wa ivo, utakuwa umeteuliwa tu huko! ukatalii!! Dogo Tiba manake ni za kienyeji zaidi na za kisasa zaidi .
Historia ya Medicine inasema wanajeshi Madaktari wengi wali gundua dawa! kwa kuteka vijiji vya waganga wa kienyeji bila kujua, huko wakakuta rundo la wagonjwa wakitibiwa magonjwa km yale yalioua baadhi yao! so wakawa wapore! hence forth wakatoka na kitu hapo!
Kwa sababu hii wakarudi kwaokufungua mijiviwanda, na wakawa matajiri vizazi na vizazi mpaka kesho! kwa sababu wana hati Milki ya formula ya dawa zao! hizo walizo dai wao ndo wamezivumbua! kuumbe mvumbuzi anakula vumbi Cameroon!
Na ukiangalia sana, kwa jicho la tatu Koo za kitajiri(kibepari) kufuru, huko UK, USA, France nk, Babu wa Babu wa Babu, alikuwa mjeda pia Immernce Wealth pharmaceutical Industrie za Ulaya na Marekani takribani miaka 200 ilopita, km BAYER, asili yao ni wajeda!
ajabu leo hii karne ya 21, kuna MDs tumemsomesha bado ana sinto fahamu wa kibabu cha kale ivi! jamani mtatoka Africa kweli?
Ndo hizi dawa unazotumia leo kwa majidai! jua chanzo chake zilichumwa hpo kwenu kwa ungo! tena kinyume nyume basi! asubuhi! sasa MD hujui History ya kazi yako! so sad wewe sema tu ukweli mizimu ya kichawi umekaa nayo mbali kwenye hii field haufiki mbali mkuu! usione aibu kushindwa!
Reff; ni Davidson Principle en practice of Medicine! soma choote! ndo utajua km mie muongo au mkweli!! Wa south wamesoma vizuri wale! wana heshimu ungo km nini! jadi pale huwaambii chochote mzulu hata masai tu!.. angalia zulu people vizuri usiwachukulie poa wale.....
Bongo amebakia Masai pekee!! anae heshimu Medicine ya jadi! Madaktari km wewe mnawadharau masai ni kosa! sababu mizimu asilia za dawa inayo waongoza kutambua kada ya Medicine bora hamna,
lkn Jamii ya watu wachafu vile wana kitu wale hujui tu!...sababu huna asili ya tiba! umefuata pesa!
Ndo unaumia sasa!! manake una ongea km mtu aliye kosa mafanikio hivi! ajili ya watu flani flani hivi!! na asikwambie mtu Medicine yoote Duniani inatokana na ..mizizi, viungo vya wanyama na Binadamu, sasa km huna connection na mizimu utaishia kulalama tu!
hata mtu ambae hakusoma shule ya Medicines anajua tu neno medicine ni dawa tu! hence forth Dr of Medicine! kwisha ndugu yangu!
MDs jamani jueni kuwa kunakurogwa? manake labda wee hujakutana na kesi ngumu! inayokutoa jasho!! mnazikimbia au mna reffer vi- case vidogo vidogo tu! ndo maana Madaktari wa MNH wanawachukia! uongo jamani? au
basi hizi chuki utakuwa umerogwa wewe! ila hujijui! kuwa mpole wakufunze hao wenzako, kwani field work practical hamkufanya kazi na waganga wa kienyeji? au huja chaguliwa na Mizimu?
km hukufanya basi hujafauru rudi kasome tena upya!! vinginevyo Field hii haikufai!! Wenzako sisi field work tumepiga mpaka kwa Chikanga wa Malawi!! akatuwekea Mikono! km mnamjua huyu jamaa ana Palace Pav. kubwa si kawida kulee nchini Malawi!
Sasa hii MD's Ni kizungu zaidi! na upande ule kuleee!! ni kiafrica zaidi!! Tanganyika Medical Board officers ya leo kamwe usiwajaribu kichawi wako vizuri na wale wa sasa hawarogeki! ukitaka sarakasi za kichawi wajaribu wale uone!! yaani Medicine ya kisasa ile.
Waliomo kunako Board ni wachawi watupu wa kiwango cha uelewa wa hali ya juu mno! usidhanie kuwa sisi tulio soma yote! tuna m-mind yesu wenu mzungu huyo! hatuna muda nae na wala hatufanyii kitu! na kamwe haji! Na Bao tunapiga mwanzo mwisho!
Kuwa mpole kwanza usaidiwe uache hizo!! huenda utakuwa MD mwenye mafanikio vinginevyo utazungusha sana mkuu! mpaka... kuwa dharau COs wenye mafanikio ni bure! tena wale madogo wengi wao ni waelewa sana ujue! ndo maana wana kimbiza!
Ajabu sasa mwenye pesa hanaga mdomo sanaaa! km COs hata humu wako wachache mie nafanya hivi kuwasaidia nyie muachane na mdomo wkt wenzenu hao wanaweza kuwa hata zaidi hata ya nyie ila ni wadogo zenu!! muwaheshimu tunajali sana michango yao!
OPP. ya kwanza alinisimamia CO, Nawaheshimu sana hawa jamaa.........