GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Jamani naomba kuuliza! Haya matokeo huko Igunga ni saa 8 za mchana au saa 8 za usiku? naombeni kujua!
Mkuu Kashindye amezimia na hakuna waku sign kukubali matokeo, watatangaza vp sasa ?
Jamani naomba kuuliza! Haya matokeo huko Igunga ni saa 8 za mchana au saa 8 za usiku? naombeni kujua!
kwa ucheleweshaji huu wa matokeo nina mashaka makubwa snbado hamuamini CCM imeshinda?
Inasemeka wewe ndiyo umeingilia account ya Zitto
Tumeshashinda! Kubali tu yaishe... CCM ni kila kituKwani wewe matokeo unayafahamu mkuu!! Au uko kwenye klamati ya ushindi...
Ni mambo ya protokali tu yamebaki.kwa ucheleweshaji huu wa matokeo nina mashaka makubwa sn
kwani hujui CDM ni chama chakihuni? Kila mtu anatoa taarifa anavyojisikia
Tumeshashinda! Kubali tu yaishe... CCM ni kila kitu
mimi saa yangu inasoma 14:12:30
iyo ni saa ngapi?