Matokeo Ni saa 8 ya Mchana au Saa 8 ya Usiku?

Matokeo Ni saa 8 ya Mchana au Saa 8 ya Usiku?

Status
Not open for further replies.
Jamani naomba kuuliza! Haya matokeo huko Igunga ni saa 8 za mchana au saa 8 za usiku? naombeni kujua!

Mkuu Kashindye amezimia na hakuna waku sign kukubali matokeo, watatangaza vp sasa ?
 
Walisema saa 8. Ukiuliza kwa nini hawatoi matokeo watajibu walikusudia saa za kidhungu, yaani saa 2 usiku. Ikifika saa 2 usiku watasemawalikusudia kusema saa za kiswahili, yaani saa 8 usiku. Ikifika hapo watasema bora warejee wakati ule ule wa kidhungu yaaani saa 2 asubuhi ya kesho. Hivyo hivyo mpaka wamalize mapishi.

NYONGEZA TU: Toka jikoni nimeambiwa kompyuta NEC zimeshambuliwa na hackers na zimeingia kirusi, kwa hivyo data zote zimepotea na wanaanza kujumlisha upya kwa chaki ubaoni. Tanzania bana, raha tele!
 
Star TV wamerejea hewani, ila simu hazipatikani IGUNGA!
 
Nchi ya Zambia ni kubwa kuliko Igunga lakini iliwachukua siku moja kutangaza matokeo! Hata kama CCM wakishinda lakini naona watakua wameshikwa sehemu nyeti!
 
Yule kinaja wenu anayejichubua alitoa nini asubuhi kwenye facebook? Au alitaga mayai pale!
Mfundisheni uongozi yule kijana.
kwani hujui CDM ni chama chakihuni? Kila mtu anatoa taarifa anavyojisikia


Tumeshashinda! Kubali tu yaishe... CCM ni kila kitu
 
Samahani wakuu, saa 8 igunga ni saa ngapi huku bongo-land?
 
live chanel ten.....ni VURUGU igunga
 
angalien ch. ten...ni vurugu kwa kwenda mbele....
 
Redio Uhuru wao wanapiga nyimbo za Rap na wao ni mabingwa wa kupiga nyimbo za Taarabu! TBC1 wametupeleka China kweli nahisi Igunga kuna hali mbaya.
 
Aah wadua tuwe na subira si mnajua majira ya Igunga huku kwetu saa kumi alasiri 10
 
kuweni wavumilivu tutatangaza saa 8 za ucku wakati ucngizi umewapitia mana mchana mtaleta fujo nyingi
 
Wakuu naomba msaada wenu, nilitegemea kama wanajumlisha kwa njia ya kisasa basi matokeo yangewahi kutoka! hii results management system ikoje? Wataalamu wa IT msaada wenu tafadhali ili tuweze kuelewa inavyofanya kazi.
 
angalien ch. ten...ni vurugu kwa kwenda mbele....
Wacha kupotosha uma wewe! Channel 10 wao wanatuonyesha Breaking news ya Conservative conference!
 
Ni aibu kubwa, hadi muda huu matokeo kutokuwa tayari..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom