kilichowachelewesha ni nini? Na watatangaza sa ngapi?Ni mambo ya protokali tu yamebaki. Matokeo tayari na vyama vimeshasign kuyaridhia.
Mkuu Kashindye amezimia na hakuna waku sign kukubali matokeo, watatangaza vp sasa ?
mi nilidhani mtu kumbe ni wewe?Magwanda wote viti vina miba:Hapakaliki
Magwanda wote viti vina miba:
Hapakaliki