Matokeo Ni saa 8 ya Mchana au Saa 8 ya Usiku?

Status
Not open for further replies.
labda CUF wamegomea matokeo maana hizo namba za malapa walizopata ni aibu tupu
 
Magwanda wote viti vina miba:

sofa_cactus_uphaa_com.jpg


Hapakaliki
 
Wandugu, nadhani walisema 'kuanzia saa nane mchana' na sio 'tutatoa majibu saa nane mchana'; sijui kama nasomeka wajamemni, na mie ni chadema mwenzenu tuko pamoja kabisa, yaani hapa niko attention kwelikweli....
 
kwa mtindo huu atakayeshindwa hatokubali kama haki ilitendekaHaki si lazima mtu akuambie imetendeka hata moyo wako unatakiwa ushuhudie kuwa haki inatendeka vinginevyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
lakini tatizo la ucheleweshaji tanzania litaisha lini???
 
Magwanda wote viti vina miba:

sofa_cactus_uphaa_com.jpg


Hapakaliki




Kwa sisi tulio na akili kushidwa au kushinda tunaangalia statistics za uchaguzi uliopita - sasa ni ujuha kushangilia ushindi wakati ki uhalisia kura zimepungua sana, ni muda wa kujipanga na kutafakari.

Na kama Tume ya uchaguzi ingeboresha daftari la wapiga kura basi CCM wasingeambulia kitu, well done CDM for me ni ushindi. Hilo sofa la mimba waambie kina CCJ Walikalie = Sita, Nape, Olesendeka na Mama Kilango.
 
Jamani saa nane inaisha saa nane na dakika hamsini na tisa na sekunde hamsini na tisa, muwe wapole.
 
startv-mpira,channel10-conservative conference,mlimantv-nyumbani pangani,tbc-stori za wang shu na jian xiang,jf-majungu ya nape na uongo wa nec.mia
 
itv wapo hewani na mda wowote matokeo yatatangazwa.sehemu ya kutangazia matokeo yupo mgomea wa ccm tu na nje ya geti hamna watu.mia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom