Matokeo Ni saa 8 ya Mchana au Saa 8 ya Usiku?

Status
Not open for further replies.
Watu waliahdi kwamba matokeo yangetoka mapema wameshindwa kufanya hivyo yani bado mkawamini tena kwa hiyo saa 8!! ebu tuondokane na tabia hii. inabidi sasa tubadilike mtu akikuahidi saa fulani nitafanya kitu fulani asipofany! tupa kule... hopeless!
 
Hawa jamaa jamii ya magamba yanaotesha mbegu ambayo itaotesha mtunda mchungu zaidi ya shubiri. Kura tu za constituency ya Igunga zinahesabiwa usiku kucha kutwa nzima toka asubuhi!
Tume ya uchaguzi inasubiri amri itangaze mshindi wa mezani.
It's high time now that this is reversed before the situation gets off hand by having an independent EC.
 
Ndiyo mambo ambayo wapenda amani, maendeleo, sera nzuri, Umoja na udungu tunayapigia kelele kila siku. Kuna inshu ambazo kila mtu zinamgusa na ni haki yake lakini kuzipata Tanzania chini ya utawala huu ni kichekesho. Utadhani haiko kwenye utaratibu wa kila au utadhani hawaoni mahitaji! mfano: Ukienda bank, ukiwa unasafiri sehemu yeyote ile, nk.

NEC yetu ni matokeo ya mfumo mbovu wa kiutendaji na ni tone moja katika bahari. Zipo sekta nyingi za serikali ambazo ziko mahututi, huduma ziko chini sana na hawana taarifa kuwa kunahitajika mapinduzi ya kiutendaji katika sekta nyingi. Wastaafu ndo wanafanya kazi za vijana wapi na wapi ndugu zangu hii ni karne ya 21, ukiwa na speed ya mwaka 77 au 79 wakati wa nduli huwezi kusurvive ukiweza huweza kudumu.

We must change our way of doing things, vinginevyo tutaendelea kuwa vichekesho kila sehemu huku tukishindwa kuwa na kitu chetu cha kujivunia.
 
wizi unaitaji muda.star.tv wemeweka kipindi cha samaki aina ya sangara baada ya kugundua Igunga wazinguaji.
 
Nilivyokua najua nikua walisema matokeo ni ndani ya saa 24 tokea muda wakupiga kura kwisha! Sasa wazee mpaka sasa hivi si masaa 48 au?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom