Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,117
- 29,672
¼(1+(1++1) ndiyo sawa naOk. Kumbe 5×(1+(1+1)) si sawa na 5(1+(1+1))?? I thought ukiondoa tu alama ya mabano baada ya zilizopo kwenye mabano automatically alama ya kuzidisha inakuwepo.
1÷4(1+(1+1) kwa hiyo ukichukua 4 kuzidisha na hivyo kwenye mabano majibu yatakuwa tofauti baina ya hizo hesabu mbili ...Uwezi kuchukua hiyo 4 ya chini ya 1 kuzidisha na vilivyopo kwenye mabano ...wanakupotosha vile ulivyo kuwa unajua ndiyo sahihi ...mfano ½(a+b) hapa huyo jamaa anakuambia uchukue hiyo 2 chini uzidishe na (a+b)kuua mabano hakuna hesabu ya hivyo duniani ...hapo kuua mabano ni (a+b) ÷2 yaani chini ya mbili ....
Kanuni ya magazijuto kwenye mabano unachotakiwa, ni kufanya equation iliyo (ndani ya mabano) tu.
Hoja ya 👉(block moja) ni potofu kwa sababu kama ingekuwepo basi KANUNI YA MAGAZIJUTO ingeongezwa na kuwa MABGAJUTO au kwa kingereza BOBDMAS ...awajafanya hivyo kwa sababu sivyo ilivyo.