Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,816
- 8,470
Habari za Jioni wa JF....
Nimekuwa nikifatilia tetesi kadhaa kuhusu maeneo ya Jiji la Dar es Salaama yanayojulikana kama Buza kwa Mpalange.
Hii ilinipa shauku ya kwenda na kutembelea haya makaazi.... kuwa ni maeneo yaliyosahaulika kimaendeleo na kusababisha maoni tofauti kwa kila wananchi ...
Na leo ninaleta ushuhuda wangu, kwa kweli mimi nilikwenda Buza kwa Mpalange na nilipendezwa na mandhari yake, na wala sikukumbana na zile barabara mbovu zenye mabonde na tope za kumwaga..
Na hata sikuvaa gumboots kwa tahadhari sababu nilitaka kushuhudia mwenyewe na kwa kweli nimepapenda na nita kuwa mtembezi wa mara kwa mara katika harakati zangu za mazoezi ya viungo..
Nakaribisha maoni kwa watembezi wa jioni kama mimi.......karibuni
Nimekuwa nikifatilia tetesi kadhaa kuhusu maeneo ya Jiji la Dar es Salaama yanayojulikana kama Buza kwa Mpalange.
Hii ilinipa shauku ya kwenda na kutembelea haya makaazi.... kuwa ni maeneo yaliyosahaulika kimaendeleo na kusababisha maoni tofauti kwa kila wananchi ...
Na leo ninaleta ushuhuda wangu, kwa kweli mimi nilikwenda Buza kwa Mpalange na nilipendezwa na mandhari yake, na wala sikukumbana na zile barabara mbovu zenye mabonde na tope za kumwaga..
Na hata sikuvaa gumboots kwa tahadhari sababu nilitaka kushuhudia mwenyewe na kwa kweli nimepapenda na nita kuwa mtembezi wa mara kwa mara katika harakati zangu za mazoezi ya viungo..
Nakaribisha maoni kwa watembezi wa jioni kama mimi.......karibuni