Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

Matatizo makubwa ya wanaume chumbani

hakuna kibamia...bwana sema kuna mabwawa...tu...vitoto vibichi vimejaa yanini kufuata mijimama...?
Hujaijua dunia bado.

Hao watoto wadogo wakiendekeza mitango na mitoys mikubwa wanapata mabwawa...

Hata mijimama inayoendekeza migobole wanaishia kuwa na mijibwawa..

Waulize wanaotembea na wake za watu, mama watu wazima wanavyofaidi... Wanasahau hata kama mke wa mtu sumu.
 
Nitafutie uzi unaozungumzia utamu wa mitarimbo

Maana kwa sasa team vibamia tushapata uzi wa kutumia kama kinga
Ndo hivyo mnasemaga kwenye threads zinazousu vibamia. Mara ukifunguliwa uzi wa mitarimbo mnabadilika mnaanza kusema mwanaume mashine!!! [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
kwani kibamia ni " ngapi boss watu wasije kuwa wanachanganya madesa hapa maana kuna vijana nishawahi kuona wanalalmika wana vibamia ilhali wana saizi ya kati[emoji1]
Sijawahi kusikia kipimo halisi ila kwa wastani ni 4.5" mpaka 6 hivi, chini ya hapo ni kibamia tu juu ya hapo ni mkuyenge!! Wengine wana mpaka 8" 10"huko.
 
Mkuu sema nini wanaume wengi wa siku hizi ni wajinga kushinda wanawake.

Imagine mtu anajisifia kusimamia ukucha badala ya kusifiwa.

Mwanaume anayejisifu mara nyingi hana sifa ya uanaume
 
Back
Top Bottom